Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
am tired of the game
Kwenye Bold,,imekupa raha ipi? nakushangaa hata Zuberi nae namshangaa kuhusisha jambo hili na "Mungu+Unyonge" unategemea mahakama ifanye nn ilhali kuna kesi ya msingi imefunguliwa?ilikuwa lazima wafanye hivo mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa. Wewe na Zuberi mnaonyesha ushabiki binafsi wa hali ya juu katika jambo hili la Kafulila.
hata mie naelewa kaka wala usihofu, ingawa ningefurahi sana kama hojaji zetu zingevutana pale na wewe upo kwa jina halisi kama mimi, ila sio shida..nami niseme haya:- wajua mbatia na wenzake walitamani kama kafulila anakosa haki hata ya kikatiba ya nchi tangu walipompokonya kadi ya uanachama, pia unaposema kuwa mimi na zuberi tunaonyesha ushabiki wa juu kwa hili, je ulitaka nisononeke kaka? NO siwezi kufarijika kwa aina ya mifumo ya vyama vyetu vya siasa vinavyojimilikisha uhai wa kisiasa wa vijana wenye upevu na uono kaka, pls pls ninaungana na yeyote anaefurahia hatua za awali za kafulila kutafuta haki...
Kwenye Cyber space ni hiyari yako kuwa na jina lako au jina linginehata mie naelewa kaka wala usihofu, ingawa ningefurahi sana kama hojaji zetu zingevutana pale na wewe upo kwa jina halisi kama mimi, ila sio shida..nami niseme haya:- wajua mbatia na wenzake walitamani kama kafulila anakosa haki hata ya kikatiba ya nchi tangu walipompokonya kadi ya uanachama, pia unaposema kuwa mimi na zuberi tunaonyesha ushabiki wa juu kwa hili, je ulitaka nisononeke kaka? NO siwezi kufarijika kwa aina ya mifumo ya vyama vyetu vya siasa vinavyojimilikisha uhai wa kisiasa wa vijana wenye upevu na uono kaka, pls pls ninaungana na yeyote anaefurahia hatua za awali za kafulila kutafuta haki...
huu uamuzi wa mahakama haujakaa vizuri
mimi nilifikiri mahakama ingeamuru kafulila aendelee kuwa mwanachama wa nccr mpaka kesi ya msingi ya kuvuliwa uanachama bila kufuata utaratibu itakapomalizika, kwanini mahakama ime rush kwenye ku withold ubunge?
Alikuwa mbabe alipoanza kuropoka CDM na kabla hajatimuliwa NCCR. sekunde chache baada ya kutimuliwa uanachama NCCR aligeuka mnyonge na kuanza kumlilia Mbatia. Ni unyonge ARTIFICIAL.Kwa hiyo Kafulila ni mbabe?
Ni amri ya Mahakama. Habari ndio hiyo!
SOURCE: http://twitter.com/#!/zittokabwe
===================
Zitto Kabwe
Kafulila kuendelea na Ubunge..... Mahakama Kuu imetoa amri muda mfupi uliopita.
Ataendelea kuwa Mbunge mpaka hapo kesi ya msingi itakapokwisha. Mungu yupo pamoja na wanyonge siku zote.
Huyu Zitto bado anaaminika na watanzania kweli?
Kafulila na kabwe hongereni kwa kupigwa tafu na serikali.zito mshauri mwenza ajiweka sawa maana ubunge waka upo mashakani.ili asiwe wa kulia lia ovyo na kupiga magoti kisa mshahara wa ubunge awe na miradi kame wewe au mpe mchongo kwenye kamati yako,coz akiwa safi kiuchumu atakusaidia kwenye harakati zako ya urais,ili mje mtuibie vizuri