Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ndiyo tatizo la serikali la kuwachekea makada wa CCM wanaokwenda kwenye kampeni na bastola na wengine hata kuzifyatua!
Hawa magamba wanachezea na damu za binadamu!
Wanataka kupandisha hasira sasa watu wauane!
Hawa magamba wanachezea na damu za binadamu!
Wanataka kupandisha hasira sasa watu wauane!