lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Mara nying Maafisa usalama wa CCM na polisi wamekuwa wakitumika sana kufanya mambo kama haya ya mauaji kisa tu mtu haitaki ccm... Tuangalie mauaji ya zanzibar, arusha na mengine mengi yote hi inatokana na utawala dharimu, vijana wengi wanauliwa na polisi na usalama wa ccm wakidhan ccm itatawala milele.