Navishangaa sana vyombo vya habari hasa magazeti yanayochapishwa na frreemedia. Hakuna haja ya kukuza kila habari inayotoka chadema hata kama ni tata. Leo hii wameandika eti chadema yamlima barua jk aeleze kuhusu mauaji ya wanachadema kwenye mikutano yao. Nakumbuka sana mheshimiwa mnyika aliitisha mkutano kule singida ambao uliishia kwa kada wa ccm kuuwawa kinyama na wafuasi wa chadema. Sasa wakristo wanasema toa kwanza boriti kwenye jicho ndipo utafute vibanzi kwenye macho ya wenzako. Ni vema chadema yenyewe inajitathmini kabla ya watu wengine kujibu kuhusu haya mauaji