Kabla rais ajajibu barua ya CHADEMA, kwanza Mnyika aeleze mauaji ya kada wa CCM Singida

mmwaisoba

JF-Expert Member
May 20, 2012
434
24
Navishangaa sana vyombo vya habari hasa magazeti yanayochapishwa na frreemedia. Hakuna haja ya kukuza kila habari inayotoka chadema hata kama ni tata. Leo hii wameandika eti chadema yamlima barua jk aeleze kuhusu mauaji ya wanachadema kwenye mikutano yao. Nakumbuka sana mheshimiwa mnyika aliitisha mkutano kule singida ambao uliishia kwa kada wa ccm kuuwawa kinyama na wafuasi wa chadema. Sasa wakristo wanasema toa kwanza boriti kwenye jicho ndipo utafute vibanzi kwenye macho ya wenzako. Ni vema chadema yenyewe inajitathmini kabla ya watu wengine kujibu kuhusu haya mauaji
 
Rais Kikwete ni kumuonea. Sababu ya mauaji inafahamika ni watu kukataa kutii sheria pasipo shuriti. Ilifahamika kabisa kuwa wakati wa sensa kusiwe na vuguvugu za kampeni. Sasa mwanasiasa aliyetayari kuhujumu sensa kwa visingizio vya kampeni za kisiasa nadhani inabidi ajipime mara mbilimbili kama kweli ananafasi ya kuendelea kutafuta madaraka Tanzania. Inabidi wanasiasa waondokane na dhana ya kuharibu mambo tu eti kwa vile hawakuchaguliwa na wananchi
 
Rais Kikwete ni kumuonea. Sababu ya mauaji inafahamika ni watu kukataa kutii sheria pasipo shuriti. Ilifahamika kabisa kuwa wakati wa sensa kusiwe na vuguvugu za kampeni. Sasa mwanasiasa aliyetayari kuhujumu sensa kwa visingizio vya kampeni za kisiasa nadhani inabidi ajipime mara mbilimbili kama kweli ananafasi ya kuendelea kutafuta madaraka Tanzania. Inabidi wanasiasa waondokane na dhana ya kuharibu mambo tu eti kwa vile hawakuchaguliwa na wananchi

Sheria ipi, hebu tuwekee hicho kifungu cha sheria hapa. Na pia hiyo sheria inawahusu CCM, na Dr Bilali anaifahamu hiyo sheria?
 
Nadhani Freemedia inauhusiano na Mwananchi Communication. Mara nyingine wanasahau ukisoma habari utakuta kama imeandikwa na mtu mmoja. Halafu wanasema na mwandisha wetu. Sasa cha msingi ni magazeti kuwa na uchambuzi kidogo wa habari maana kwa mfano kule mwanza Tanzania Daima ilisema waziri mkuu azomewa apokelewa na peoples power. Lakini kwa tuliokuwapo kwenye eneo la tukio unaona kwamba wazomeaji walipangwa, na walikuwa ni wachache kuliko waliokuwa wakimsikiliza waziri mkuu. Lakini kwa vile lengo ilikuwa ni kuipaisha hiyo people power ikabidi gazeti liandike hivyo. Hata leo story kubwa katika mwananchi na Daima ilikuwa inafanana JK alimwa barua. Duh wanahdishi muweke akiba, tutawauliza haya siku moja siye tunaweka tu magazeti. Bado tunayo yale mliyokuwa mnatuandikia 2005 kuwa JK anatisha, JK ashuka kama mwewe, sasa mmeamia kwa bwana slaa
 
Navishangaa sana vyombo vya habari hasa magazeti yanayochapishwa na frreemedia. Hakuna haja ya kukuza kila habari inayotoka chadema hata kama ni tata. Leo hii wameandika eti chadema yamlima barua jk aeleze kuhusu mauaji ya wanachadema kwenye mikutano yao. Nakumbuka sana mheshimiwa mnyika aliitisha mkutano kule singida ambao uliishia kwa kada wa ccm kuuwawa kinyama na wafuasi wa chadema. Sasa wakristo wanasema toa kwanza boriti kwenye jicho ndipo utafute vibanzi kwenye macho ya wenzako. Ni vema chadema yenyewe inajitathmini kabla ya watu wengine kujibu kuhusu haya mauaji

Hivi we wa poti,
Kazi ya ulinzi na usalama wa raia nchi hii ni ya nani?
hicho chama unachokisema, ndio kina polisi wa kupeleleza mauaji?
au wao ndio wana vyombo vingine vyote vya ulinzi na usalama?
au wewe ndugu yetu unajadili hili jambo kisiasa?
 
Rais Kikwete ni kumuonea. Sababu ya mauaji inafahamika ni watu kukataa kutii sheria pasipo shuriti. Ilifahamika kabisa kuwa wakati wa sensa kusiwe na vuguvugu za kampeni. Sasa mwanasiasa aliyetayari kuhujumu sensa kwa visingizio vya kampeni za kisiasa nadhani inabidi ajipime mara mbilimbili kama kweli ananafasi ya kuendelea kutafuta madaraka Tanzania. Inabidi wanasiasa waondokane na dhana ya kuharibu mambo tu eti kwa vile hawakuchaguliwa na wananchi

Sheria inayokataliwa adhabu yake siyo kifo!!!!!! Au ukikojoa hadharani unapigwa kombora la masafa ya kati kwa kuwa ni kosa kukojoa hadharani!!!

Usiwasingizie wananchi ya kuwa walimchagua jk. Yeye alitangazwa na makame, hata ukirejea hizo sheria za uchaguzi utanielewa.
 
Navishangaa sana vyombo vya habari hasa magazeti yanayochapishwa na frreemedia. Hakuna haja ya kukuza kila habari inayotoka chadema hata kama ni tata. Leo hii wameandika eti chadema yamlima barua jk aeleze kuhusu mauaji ya wanachadema kwenye mikutano yao. Nakumbuka sana mheshimiwa mnyika aliitisha mkutano kule singida ambao uliishia kwa kada wa ccm kuuwawa kinyama na wafuasi wa chadema. Sasa wakristo wanasema toa kwanza boriti kwenye jicho ndipo utafute vibanzi kwenye macho ya wenzako. Ni vema chadema yenyewe inajitathmini kabla ya watu wengine kujibu kuhusu haya mauaji
Katokea wapi huyu? Mbona nimesikia wame-mmwakyembe, halafu waka-mmwandosya na baadaye kum-uulimboka!.
 
Rais Kikwete ni kumuonea. Sababu ya mauaji inafahamika ni watu kukataa kutii sheria pasipo shuriti. Ilifahamika kabisa kuwa wakati wa sensa kusiwe na vuguvugu za kampeni. Sasa mwanasiasa aliyetayari kuhujumu sensa kwa visingizio vya kampeni za kisiasa nadhani inabidi ajipime mara mbilimbili kama kweli ananafasi ya kuendelea kutafuta madaraka Tanzania. Inabidi wanasiasa waondokane na dhana ya kuharibu mambo tu eti kwa vile hawakuchaguliwa na wananchi
Ndoa na udini vinateesa!
 
Rais Kikwete ni kumuonea. Sababu ya mauaji inafahamika ni watu kukataa kutii sheria pasipo shuriti. Ilifahamika kabisa kuwa wakati wa sensa kusiwe na vuguvugu za kampeni. Sasa mwanasiasa aliyetayari kuhujumu sensa kwa visingizio vya kampeni za kisiasa nadhani inabidi ajipime mara mbilimbili kama kweli ananafasi ya kuendelea kutafuta madaraka Tanzania. Inabidi wanasiasa waondokane na dhana ya kuharibu mambo tu eti kwa vile hawakuchaguliwa na wananchi
Kama ugonjwa wa kuwashwa washwa unamnyemelea vile!..
 
Navishangaa sana vyombo vya habari hasa magazeti yanayochapishwa na frreemedia. Hakuna haja ya kukuza kila habari inayotoka chadema hata kama ni tata. Leo hii wameandika eti chadema yamlima barua jk aeleze kuhusu mauaji ya wanachadema kwenye mikutano yao. Nakumbuka sana mheshimiwa mnyika aliitisha mkutano kule singida ambao uliishia kwa kada wa ccm kuuwawa kinyama na wafuasi wa chadema. Sasa wakristo wanasema toa kwanza boriti kwenye jicho ndipo utafute vibanzi kwenye macho ya wenzako. Ni vema chadema yenyewe inajitathmini kabla ya watu wengine kujibu kuhusu haya mauaji
Kwa hiyo unasherehekea mauaji ya mwangosi?
 
Wengi waliojiunga juzi juzi hapa kwa JF ambao nina uhakika ni wanafunzi wa kile chuo cha kata pale Dodoma wanakiita Udom yaani utakuta wanaandika pumba pumba kama alizoleta huyu Mmwaisoba ambaye kajiunga juzi tu 20may2012 ss hii nyuzi yake ni pumba kabisa kabisa ati Freemedia ndio zimeandika tu kuwa Chadema wamemlima Jk barua hivi kama husomi news hauna haja ya kuandika pumba wakati magazeti yote yameandika the same hebu soma vitu kwanza uelewe then mwisho wa siku usijeandika ushuzi huu tena
 
Ndugu yetu unaskitisha sana. Hivi kweli hata ili la ukimya wa Rais kuhusu mauaji ya raia wasio na hatia halikugusi hata kidogo. Hapa nina wasiwasi labda wewe ni mkimbizi maana huna uchungu kabisa juu ya damu ya watz iliyomwagika.
Kitu kingine ambacho ndugu yetu unashangaza ni kutojua tofauti ya kifo hicho cha huyo uliyemwita kwamba alikuwa mwanachama wa ccm. Huyu nduguyo hatakama aliuawa na wanachadema, hatutegemei yeyote kuhojiwa bali waliotekeleza mauaji kuchukuliwa hatua za kisheria na pengine haki ikatendeka. Vifo anavyohojiwa Raisi ni vifo ambavyo vimetekelezwa na jeshi la polisi ambalo kimsingi ndilo lenye dhamana ya kuhakikisha kuwa wananchi wanafuraia haki zao za msingi, ikiwemo haki ya kuishi bila mtu mwingine kukatisha uhai wao. Sasa wao wanapogeuka kua wauaji lazima raisi ahojiwe maana yeye ndiye amiri jeshi mkuu.
Halafu hilo swala la sensa mnalikuza tu, hivi mbona kampeni za ccm katika uchaguzi mdogo uliofanyika karibuni huko nzanzibar zilikuwa zikifanyika, lakini pia hivi ni shughuli za kisiasa tu ndizo serikali iliziona, mbona shughuli nyingine kama kilimo, biashara, kazi za ofisini ziliendelea kama kawaida. Lakini kubwa la kushangaza ni kwamba katika juma lote la pili la nyongeza kulikuwa na matangazo yaliyokuwa yakielekeza wananchi ambao bado hawakuhesabiwa, waende wakaripoti katika ofisi za mitaa, hii inaonyesha kuwa sensa ilishakamilika ila sasa ilibaki sensa ya iyari kwa wale tu ambao hakuhesabiwa.
Sikunyingine unapopost kituchako jaribu kufikiria kiundani, alafu uje nakitu ambacho kitakuwa na manufaa kwa jamii. Usitafute umaarufu, wewe unamtetea raisi anakujua wewe, pia kama unazani anaonewa alitaka madaraka ya nini. He must responsible as much as we want him to be.
 
Back
Top Bottom