Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
we niangusage tu be
niangusage tu hata chyupi sina...........ameendaga nayo dada, Mgololo!
we niangusage tu be
unaweza ukawa unajua mapenzi uko chini kubovu haisaidii, besides mapenzi ni sanaa ambayo kabila lolote linaweza kujua likihitaji kujifunza
chini ya uvungu
chini ya hiki kiti nilichokalia
chini ya meza iliyopo computer yangu
hii chini hii, sijui ni chini ipi jamani maty nisaidie
nahofia kuchakachua thread ya watu mwisho ihamishiwe jukwaa la wenye ndevu
1.Wachagga
2.Wazaramo
3.Wanyakyusa
4.Wahaya
Hakuna kabila lingine ni hawa tu wanaongoza chunguza hahhaha!!!! msiachane lakini wajameni mliopo ndani ya ndoa tayari jaribuni kurekebishana hapa na pale.
- Makabila yale yanayojishughulisha zaidi na biashara, mf wachaga: kwa sababu ya kukaa mbali na wake zao wanaume wanaanza kuwa unfaithful na baadaye wanawatelekeza wanawake wao wa ndoa na kutwaa mabinti wabichi
- Makabila yenye wanawake wengi waliosoma, mf. wachaga na wahaya, wanyakyusa: hawa wanaonekana kuwa wabishi (yawezekana si kweli katika hali halisi) hivyo wanaume kuwakimbia
- Makabila yale yote ambayo ni matrilineal (yenye ukoo wenye kuegemea kwa wamama/ wajomba): hawa wanakuwa na tabia ya kutawala waume zao na kuwa-command. Wao ndo wenye madaraka katika nyumba. Kwa wanaume wengi hili halivumiliki na hivyo wakichoka wanawatoroka wake zao - mavuvuzela. mf. waluguru, wanyiramba, nk.
kabila la kiume ndo wanaachwa zaidi
lakin hawasemwi wazi cz mkike hatangazi na haandiki talaka cz ya watoto na kuwa tegemez lakin moyoni mwao washawaacha adamu zao kitaaaaambo afu et adamu anajifanya kwenda nje akizan home mamaa anamsubiri yeye kumbe menzake anajifanya mjinga tu na kumchora step zake so.....kabila la kiume ndo linaachwa zaid.
Nawasilisha kwa upendo na si bfu...haha haha raha mieeeeeee!!!!