Kabila gani linaongoza kuachika!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,034
JAMANI kama mjuavyo vijana wa JF wameanza na moto wa kuoa kwa kuoana
so si mbaya ni vyema wakiwa na familia wakawa wamepaata ka background fulani
cha familia anayoenda kuikwaa.....

Leo hii naomba tuanze na kabila Gani wanaongoza kuachwa ama kuachika then na nyie mnaoenda kuoa mjue mtaanzaje sisemi tuwaache la hasha kama ndie wako mupenzi nawe jaribu kutafuta soln mapema
nini chanzo cha kuwaacha ..yawezekana ni mambo madogo tu yawezekana ni ngumi za usoni kidogo unataka kula kona kwenye ndoa hapana..vumilia ila kabla ya ndoa jua unaoa ama kuolewa na nani
naweza kukaa nae muda gani..usinshangae unaolewa na mtu wa mara anakupiga unakimbia uo ni ujinga kwao ngumi makofi ni upendo ulioje so chungulia uko wapi

Kila la kheri
 
tena wa MARA akikupiga shukuru mungu wengine wanachinja kabisa!!
Lord have mercy n'm
 
JAMANI kama mjuavyo vijana wa JF wameanza na moto wa kuoa kwa kuoana
so si mbaya ni vyema wakiwa na familia wakawa wamepaata ka background fulani
cha familia anayoenda kuikwaa.....

Leo hii naomba tuanze na kabila Gani wanaongoza kuachwa ama kuachika then na nyie mnaoenda kuoa mjue mtaanzaje sisemi tuwaache la hasha kama ndie wako mupenzi nawe jaribu kutafuta soln mapema
nini chanzo cha kuwaacha ..yawezekana ni mambo madogo tu yawezekana ni ngumi za usoni kidogo unataka kula kona kwenye ndoa hapana..vumilia ila kabla ya ndoa jua unaoa ama kuolewa na nani
naweza kukaa nae muda gani..usinshangae unaolewa na mtu wa mara anakupiga unakimbia uo ni ujinga kwao ngumi makofi ni upendo ulioje so chungulia uko wapi

Kila la kheri

hutopata majibu sahihi hapa. Labda kabila lako!
 
kasoro kabila langu. Tunajua kuacha sio kuachwa.

Hii imekaa vizuri kabisa. Na nadhani unaweza kutusaidia. Kwa sababu nyie hamuachwi ila mnaacha tu ina maana mnaoa makabila mengine na kuacha.

Hebu tusaidie Katika wale mnaooa na kuacha kabila lipi linaongoza???
 
Mimi binafsi wanawake wengi niliowasikia wameachika ni makabila ya;

1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wanyakyusa
 
kabila la kiume ndo wanaachwa zaidi
lakin hawasemwi wazi cz mkike hatangazi na haandiki talaka cz ya watoto na kuwa tegemez lakin moyoni mwao washawaacha adamu zao kitaaaaambo afu et adamu anajifanya kwenda nje akizan home mamaa anamsubiri yeye kumbe menzake anajifanya mjinga tu na kumchora step zake so.....KABILA LA KIUME NDO LINAACHWA ZAID.
nawasilisha kwa upendo na si bfu...haha haha raha mieeeeeee!!!!
 
Mimi binafsi wanawake wengi niliowasikia wameachika ni makabila ya;

1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wanyakyusa

Si kweli, hayo makabila uliyotaja ndoa zao ni za kikristu na huamini ndoa ya kikristu haivunjiki, kwa maana nyingine ni kunyume chake: yaani ndio makabila yanayoongoza kwa kutoachana
 
Back
Top Bottom