The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
kasoro kabila langu. Tunajua kuacha sio kuachwa.
hii nayo ni crisis
kasoro kabila langu. Tunajua kuacha sio kuachwa.
Mimi binafsi wanawake wengi niliowasikia wameachika ni makabila ya;
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wanyakyusa
Unamaanisha kuna uhusiano kati ya migomba na kuachika au??????
Kma ndivyo nakata migomba yote home kwangu wasijenipakulia na kutimka nae
Wachaga.na wahaya,wajeuri madai yao wamesoma wengi wao c tegemezi
ha aha ah a ahahahahahahahah eti ngumi za kidogo za uso unakimbiaJAMANI kama mjuavyo vijana wa JF wameanza na moto wa kuoa kwa kuoana
so si mbaya ni vyema wakiwa na familia wakawa wamepaata ka background fulani
cha familia anayoenda kuikwaa.....
Leo hii naomba tuanze na kabila Gani wanaongoza kuachwa ama kuachika then na nyie mnaoenda kuoa mjue mtaanzaje sisemi tuwaache la hasha kama ndie wako mupenzi nawe jaribu kutafuta soln mapema
nini chanzo cha kuwaacha ..yawezekana ni mambo madogo tu yawezekana ni ngumi za usoni kidogo unataka kula kona kwenye ndoa hapana..vumilia ila kabla ya ndoa jua unaoa ama kuolewa na nani
naweza kukaa nae muda gani..usinshangae unaolewa na mtu wa mara anakupiga unakimbia uo ni ujinga kwao ngumi makofi ni upendo ulioje so chungulia uko wapi
Kila la kheri
hakuna kitu huko...ngumi mkononi, ugomvi mdogo tu anakuja na mikuki na mapanga pamoja na marungu...Mara ni kabila lenye wanawake wavumilivu sana,ukimpata wa huko jua umepata kitu cha uhakika.