Kabila gani linaongoza kuachika!!!

Nahisi kabila langu, dada zangu wameachika wote! na wanaume tumeacha wake zetu wote! Ukoo wa masingle huu
 
1.Wachagga
2.Wazaramo
3.Wanyakyusa
4.Wahaya
Hakuna kabila lingine ni hawa tu wanaongoza chunguza hahhaha!!!! msiachane lakini wajameni mliopo ndani ya ndoa tayari jaribuni kurekebishana hapa na pale.
 
Mimi binafsi wanawake wengi niliowasikia wameachika ni makabila ya;

1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wanyakyusa

Unamaanisha kuna uhusiano kati ya migomba na kuachika au??????

Kma ndivyo nakata migomba yote home kwangu wasijenipakulia na kutimka nae
 
Nawasalimia nimepita tu hapa ila naona hapanifai hili la makabila naogopa Mi Mtanzania
 
Unamaanisha kuna uhusiano kati ya migomba na kuachika au??????

Kma ndivyo nakata migomba yote home kwangu wasijenipakulia na kutimka nae


ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, migomba ee, acha tutakosa ndizi na mbege bureeee!!
 
- Makabila yale yanayojishughulisha zaidi na biashara, mf wachaga: kwa sababu ya kukaa mbali na wake zao wanaume wanaanza kuwa unfaithful na baadaye wanawatelekeza wanawake wao wa ndoa na kutwaa mabinti wabichi
- Makabila yenye wanawake wengi waliosoma, mf. wachaga na wahaya, wanyakyusa: hawa wanaonekana kuwa wabishi (yawezekana si kweli katika hali halisi) hivyo wanaume kuwakimbia
- Makabila yale yote ambayo ni matrilineal (yenye ukoo wenye kuegemea kwa wamama/ wajomba): hawa wanakuwa na tabia ya kutawala waume zao na kuwa-command. Wao ndo wenye madaraka katika nyumba. Kwa wanaume wengi hili halivumiliki na hivyo wakichoka wanawatoroka wake zao - mavuvuzela. mf. waluguru, wanyiramba, nk.
 
JAMANI kama mjuavyo vijana wa JF wameanza na moto wa kuoa kwa kuoana
so si mbaya ni vyema wakiwa na familia wakawa wamepaata ka background fulani
cha familia anayoenda kuikwaa.....

Leo hii naomba tuanze na kabila Gani wanaongoza kuachwa ama kuachika then na nyie mnaoenda kuoa mjue mtaanzaje sisemi tuwaache la hasha kama ndie wako mupenzi nawe jaribu kutafuta soln mapema
nini chanzo cha kuwaacha ..yawezekana ni mambo madogo tu yawezekana ni ngumi za usoni kidogo unataka kula kona kwenye ndoa hapana..vumilia ila kabla ya ndoa jua unaoa ama kuolewa na nani
naweza kukaa nae muda gani..usinshangae unaolewa na mtu wa mara anakupiga unakimbia uo ni ujinga kwao ngumi makofi ni upendo ulioje so chungulia uko wapi

Kila la kheri
ha aha ah a ahahahahahahahah eti ngumi za kidogo za uso unakimbia
 
hii dhambi mnayoipanda hapa leo mtaichuma wenyewe, wadogo, kaka na dada zenu pamoja na watoto wenu. Shauri yenu
 
Mara ni kabila lenye wanawake wavumilivu sana,ukimpata wa huko jua umepata kitu cha uhakika.
hakuna kitu huko...ngumi mkononi, ugomvi mdogo tu anakuja na mikuki na mapanga pamoja na marungu...
halaf wanawang'oa Clit...hivyo upande wa kufurahishana ni F...
Nadhani wazaramo wanaongoza kuachika na wanawake wavumilivu ni wanyakyusa na waha wa kigoma.
 
Nimeshindwa kuchangia kwani sipendi kuongelea sana mambo ya Ukabila kwani huku ni kupoteza dira ila nijuavyo mke ,mwema mtu hupewa na Mungu na si kwa namna ya ushauri unaotolewa hawa JF. Kuoa hakuna fomula wana JF kuachwa au kuacha kuna tegemea na mahusiano ya mume na mke yalivyoanza bila kujali umeoa mchagga, mnyakyusa au Mhaya au mnyaturu. Nyie mnaotaja makabila najua hamjaoa bado hamjui msemacho tuulizeni sisi tutawapa hints za maana tu
 
ahhhh bwana kuachana si kwaajili ya makabila ni matatizo tu ndani ya ndoa...

mi binafsi naangalia nani atakuwa mzuri kucheza doge ball....... kabila si kutu...
 
Back
Top Bottom