ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,211
- 50,941
Wanajeshi wa Jeshi la Tanzania JWTZ Wamewasili Mashariki ya DRC Ili kulinda amani baada ya kikosi Cha awali Cha Jeshi la Afrika Mashariki kikiongozwa na Kenya Kuondolewa kwenye hayo majukumu Kuifuatilia kuelezwa kwamba kilishindwa kutekeleza majukumu yake.
Wanajeshi wa Tanzania wataungana na Wanajeshi wa kutoka Afrika Kusini.
View: https://www.instagram.com/p/C0_vD4UCGnI/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Tanzania inaendelea kuaminiwa kwenye Kila Nyanja kuanzia Diplomasia Hadi Ulinzi na Usalama na kuwa kimbilio la Mataifa mengine ya Afrika.
Kenya ni matapeli Huwa hawaaminiki na yeyote na pia ni vibaraka wa Wazungu.
Rwanda na M23 tunajua mtanuna sana maana mnafahamu moto wa JWTZ.
Wanajeshi wa Tanzania wataungana na Wanajeshi wa kutoka Afrika Kusini.
View: https://www.instagram.com/p/C0_vD4UCGnI/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Tanzania inaendelea kuaminiwa kwenye Kila Nyanja kuanzia Diplomasia Hadi Ulinzi na Usalama na kuwa kimbilio la Mataifa mengine ya Afrika.
Kenya ni matapeli Huwa hawaaminiki na yeyote na pia ni vibaraka wa Wazungu.
Rwanda na M23 tunajua mtanuna sana maana mnafahamu moto wa JWTZ.