HEBU NIAMBIE CHOMBO KIMOJA KATIKA HII SERIKALI KINACHOFANYA KAZI KWA UHAKIKA BILA UBABAISHAJI
Ni vigumu kuamini kwamba TBC watakatiza live press conference
Tayari wako hewani, TBC1 Tune radio one.kama una simu yenye radio tune radio ONE na tbc wanatangaza unaweza pata chochote hata kama huna tv
Waandishi na JF mtakaokuwepo mumuulize maswali kwanini hajajiuzulu na waziri wake?
Hakutakuwa na lolote la maana hapo.....usanii mtupu.Rais msanii,wasaidizi wasanii,wananchi wasanii......kila kitu!
JF nimewakubali.... yani in a few minutes mmeweza kurusha powerpoint slide muhimu.... hebu fungueni TV yaishe, tuachane na hizi TV feki dizaini ya TBC
Brigedia gani hajanyoa nywele, atawezaje kuwadhibiti wa chini yake wanyoe nywele