JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

JamiiForum,
Jana nimeangalia clip ya mkulu(Amiri Jeshi Mkuu Mh. Rais akiweka siri za jeshi letu wazi namnukuu '' Gongo-la-Mboto ndiyo kambi yenye silaha zote kali na nyingi kupita zote Tanzania'-source Video clip GlobaPublishers na abbymrisho -gongolamboto video youtube.

Hapa mkuu wa usalama jeshi anatumia power-point presentation tuwaelezea maadui wa Tanzania kwa kina siri zetu za kijeshi ila siri za Kagoda na DeepGreen ndiyo siri za Taifa.

Yaani naumia kichwa nikifikiria priorities za hii nchi zilivyokaa..yaani ni upside down
 
Anawataka waandishi waandike kwa kuzingatia uzalendo na utaifa
Merde! samahaniu najua hili neno nililoanza nalo si zuri lakini hasira za upuuzi wa huyu mkubwa nai zaidi ya ukali wa hilo neno! Huyu jamaa ana akili kweli, watu wamepoteza maisha, wengine wameachwa na vilema vya kudumu, halafu yeye anataka watu waandike kwa kuzingatie uzalendo! maana yake nini anawaomba waandishi watudanganye au watoe taarifa kwa maelekezo yao!

Shit, kama waliweza kumchuuza PINDA na maelezo yao ya uongo, si kila mtu wanaweza mchuuza, wanahabari wa TZ wasipotujuza kwa ukweli wa habari zenyewe, tutapata habari toka vyombo huru vya nje ya nchi!
 
Hatuna wataalam wa milipuko nje ya JWTZ wenyewe. Hivyo watajichunguza wenyewe na kutupatia kile wanachoona ni sahihi! Tusahau tu tusonge mbele. Mbona Mbagala tulishasahau.
 
Ahaaa, anasema kwamba jeshi halijaweza kuhama kutoka kwenye makazi ya wananchi kwa sababu serikali haijaamua hivyo. Kwamba jeshi lazima litatii amri mara moja. Hapo amepiga Ikulu moja kwa moja
 
1. Mwaka 2005 uliwahi kutokea mlipuko hapo hapo Gongo la Mboto (sio Mbagala 2009). Kikosi kazi kiliundwa na kilifanya uchunguzi. Je, matokeo ya uchunguzi yalikuwa yapi na yalifanyiwa kazi?

2.Urusi na china yanakotoka mabomu hayo wanatunza ardhini na kuwekewa kiyoyozi, yakilipuka yanaishia huko huko chini. Kwa nini sisi tunayatunza kama mahindi? Umeme haujachangia mlipuko?

3. Gen. Mwamunyange jana alisema hayo mabomu yalinunuliwa hivi karibuni na siku mbili tatu yalikuwa yamekaguliwa. Je, ina maana haya mapya ni mabomu feki?
 
Mwamunyange na JK ni mashoga, huyu jamaa hana la kutueleza, nahisi huko jeshini kuna ishu amabzo haziendi fresh, niliwasikia baadhi yao wakilalama kuwa jamaa hawajali kivile yaani mslahi yao yanabanwa, soo inawezekana ndio wameamua kulipua maghala ya mabomu wakitaka Mwamunyange ajiuzulu.

najua una hasira mkuu, ila ustaarabu jamvini ni bure huna hata haja ya kuulipia.
 
Hawa jamaa afadhali wasingeitisha hii press conference...wanaumbuka...sijui watamaliza vipi....anasema wakati ghala linahamishiwa gongo la mboto hakukuwa na makazi ya watu jirani..wakati pugu sekondari ilikuwepo pale na wanafunzi walikuwepo
 
Hili jeshi letu limeshapoteza face mara nyingi sana. Hii ni dalili kuwa tuna genge la wahuni tu na hatuna jeshi. Huoni mfumo wa kijeshi ukifanya kazi kwenye matukio makubwa. Kusema kweli sasa hivi Tanzania tulivyo tukivamiwa na nchi kama Rwanda, watatupiga vibaya sana. Hatuna jeshi na hatuna serikali, tuna magenge ya wahuni tu wanaofikiria kuiba na kujitajirisha.

Toka tukio la Gongo la Mboto litokee, ni confusion tupu. Hujui msemaji wa serikali ni nani kwenye mambo kama haya. Mara mkuu wa mkoa, mara mkuu wa polisi, Mara mnadhimu mkuu wa jeshi, mara waziri mkuu, mara Rais, na wote ukifuatilia wanachoongea ni kuwa HAKUNA COORDINATION. NERVE SYSTEM YA NCHI HAIFANYI KAZI SASA HIVI NA NCHI IKO KATIKA PARALYSIS.

Kauli za viongozi zilikuwa zinachanganya. Wananchi; wengine walikuwa wanakimbia wengine wanarudi. Wengine wanaambiwa waende umbali wa kilomita kumi wengine wanaambiwa mambo yameisha. Kigamboni watu waliambiwa wakimbilie kandoni mwa bahari na wengi wali respond. Kwa tukio kubwa kama hili, mkuu wa nchi alikuja kuonekana baada ya masaa zaidi ya kumi. Na hakuwa na jipya linalotofautiana na walio mtangulia.

Maana yake ni kuwa command structure ya nchi haipo!! Tukae tukijua hilo. Haya mambo ya kujichanganya tunayoyaona ndo sababu yake hasa. Hakuna anayejua afanye nini. Kila mtu anasubiri amri kutoka juu, lakini hiyo amri ama haiji au ikija haieleweki!!

Kweli kabisa mkuu. Ile issue ya katiba ilituweka wazi kuwa hakuna cordination serikalini. Sasa janga kama hili ndio kabisaaa.
 
Jamaa wanajichanganya hali ya hewa kuwa chanzo wanakataa sio temperature yaweza kuwa humidity, lol
 
Kwa hiyo tunatakiwa tusubili uchunguzi!mbona matokeo ya uchunguzi wa mabomu ya mbagala hatujapewa!
 
JamiiForum,
Jana nimeangalia clip ya mkulu(Amiri Jeshi Mkuu Mh. Rais akiweka siri za jeshi letu wazi namnukuu '' Gongo-la-Mboto ndiyo kambi yenye silaha zote kali na nyingi kupita zote Tanzania'-source Video clip GlobaPublishers na abbymrisho -gongolamboto video youtube.

Hapa mkuu wa usalama jeshi anatumia power-point presentation tuwaelezea maadui wa Tanzania kwa kina siri zetu za kijeshi ila siri za Kagoda na DeepGreen ndiyo siri za Taifa.
Mkuu, everything iko kwenye google map, wala usiwe na wasiwasi, siku hizi hata israel bases zipo public. cha pili ni kwamba dont expect that base to be back to its original purpose, na ndio maana wapo comfortable kuweka picha

rest assured, baada ya hili wakubwa wa jeshi watagaiwa viwanja na mambo yataendelea
 


3. Gen. Mwamunyange jana alisema hayo mabomu yalinunuliwa hivi karibuni na siku mbili tatu yalikuwa yamekaguliwa. Je, ina maana haya mapya ni mabomu feki?

Anaweza kutupa evidence kama kweli hayo mabomu ni mapya? Na kama ni mapya tumeyanunua toka wapi na kwa sababu zipi?
 
Back
Top Bottom