JWTZ, MANUSCO unganisheni operations za Congo na za kumkamata Kagame dead or alive

Kutokana na ukweli kwamba Jamii ya kimataifa imejiridhisha kuwa Raisi kagame anahusika moja kwa moja kwa kuwasaidia March 23(M23) kijeshi na misaada mingineyo ya ki-inteligensia na kusababisha kutokuwa na amani nchini congo,kuuawa kwa watu,kubakwa kwa wanawake na kusababisha wakongo kukimbia eneo la goma na mashariki ya kongo na kuwa wakimbizi basi Rais kagame anayo kesi ya kijibu ICC
Week iliyopita shirika la haki za binadamu duniani(HUMAN RIGHT WATCH-HRW) ilitoa repoti kwa kuwahoji hata baadhi ya askari wa kagame ambao walipewa amri kuvuka mpaka na kuwasaidia waasi wa M23,ripoti hiyo ilitoa takwimu kuanzia mwezi march watu 40 wameuawa na wanawake 60 kubakwa na waasi wa M23,serikali ya Kigali bila hata aibu ilikanusha madai haya na uhusika wake
Serikali ya washington vilevile ilitoa wito kwa Raisi Kagame kuacha maramoja kuwasaidia waasi wa M23.Hii lazima ikumbukwe ni mara ya pili juu ya tuhuma hizi kwa wale wanaofuatilia mambo mtakumbuka mwaka jana Rwanda iliwekewa vikwazo na serikali ya uingereza kwa kuhusika kwake na tuhuma hizi hizi
Ukweli wa mambo unajulikana Rais kagame anaendesha operations za kuiba madini nchini Kongo kwahiyo asingependa hata kidogo kuona kuna amani na ndio hata maana aliposikia Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania anamrisha JWTZ-TPDF kwenda kwenye ulinzi wa amani katika kikosi cha umoja wa mataifa(MANUSCO) alileta chuki binafsi na kuanza kumtolea maneno ya kejeli alipoambiwa afanye negotiations/mediations na FDRL
Jamii ya kimataifa imeshaliona hilo huu ni muda sasa wa kagame kutafutwa na kukamatwa akajibu tuhuma za kuwa adui wa amani ya CONGO kwa manufaa yake binafsi hivo basi natoa rai JWTZ,MANUSCO kwa weredi mkubwa hakikisheni operations za congo mnaunganisha na kumkamata kagame dead or alive kwa sababu anayo kesi ya kujibu ICC
Ninakubali ila tungoje serikali yenye hekima 2015 itoe maamuzi ya hekima!!
 
Wewe unatoa amri hii kama kamanda wa ICC, ama wewe ndiye kamanda mkuu wa majeshi ya MANUSCO, ama JWTZ?

Mimi nashauri Rwanda ifukuzwe kwenye AU na Jumuia ya Africa Mashariki kwa sababu imepoteza sifa za uanachama lakini si jukumu la JWTZ ama MANUSCO kumkamata akiwa hai au kufikiksha mwili wa Kagame ICC

Kumbuko hayo ni mawazo yangu tu freedom of speech kwani wewe uliyependekeza Rwanda iondolewe EAC ni Mwenyekiti?acha ushamba siku nyingine jifunze kuchangia kwa heshima sio kutoa povu

Sent from state house
 
vita vya maisha bora hatujamaliza.Mimi kwa kweli siwaelewi serikali ya Magamba.Kila kukicha ni kuongeza bajeti tu na sio kupunguza ili hizo pesa ziende sehemu husika .kama vile mashuleni.afya na kadhalika.Sasa waleta mzigo mwingine wa vita.Vita ni pesa.Na hatujui itaisha lini?.kwanini tupigane vita,kwani tumeshakaa mezani tukasuluhishwa?.Hatutaki vita sisi.
 
Bora ukose hela lakini siyo kufilisika akili.

Sisi hatuna huduma za msingi kama maji, umeme, huduma za afya, barabara, reli, elimu bora nk.
Tumepata wapi fedha za kuingia vitani????
Tangu lini Tanzania ikawa askari wa kanda hii ya Africa?
Nauliza, Tangu lini tumekuwa polisi wa ICC?
ICC haijui alipo PK ili kama wanashida naye wamfuate kwa gharama zao?


Wenzetu (Kenya, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini, Ethiopia) wanafikiria maendeleo ya nchi zao na watu wao lakini wewe ndo kwanza unaanza uchochezi wa vita??

Yaani hujaridhika na umaskini tuliyo nao unataka tuingie kwenye ufukara jumla?

Tafuta elimu uelewe adhari za vita maana wewe vita unaiskia tu!!!

Aibu kwenu ninyi wote mnao waza vita!!

Maendeleo ni pamoja na kupambana na changamoto za wanaotishia amani ya nchi kama PK

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nchi yetu yenyewe imetushinda halafu tunajidai tunasaidia nchi nyingine kwanini tusitumie muda huu kutoa mawazo ya kuwataka watawala wetu waboreshe maisha ya watanzania!?

Umekariri maendeleo ni pamoja na changamoto za majirani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Usidhani ni jambo jepesi tu kumkamata kama vile unakamata kuku.

Vita sio bai koko.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kutokana na ukweli kwamba Jamii ya kimataifa imejiridhisha kuwa Raisi kagame anahusika moja kwa moja kwa kuwasaidia March 23(M23) kijeshi na misaada mingineyo ya ki-inteligensia na kusababisha kutokuwa na amani nchini congo,kuuawa kwa watu,kubakwa kwa wanawake na kusababisha wakongo kukimbia eneo la goma na mashariki ya kongo na kuwa wakimbizi basi Rais kagame anayo kesi ya kijibu ICC
Week iliyopita shirika la haki za binadamu duniani(HUMAN RIGHT WATCH-HRW) ilitoa repoti kwa kuwahoji hata baadhi ya askari wa kagame ambao walipewa amri kuvuka mpaka na kuwasaidia waasi wa M23,ripoti hiyo ilitoa takwimu kuanzia mwezi march watu 40 wameuawa na wanawake 60 kubakwa na waasi wa M23,serikali ya Kigali bila hata aibu ilikanusha madai haya na uhusika wake
Serikali ya washington vilevile ilitoa wito kwa Raisi Kagame kuacha maramoja kuwasaidia waasi wa M23.Hii lazima ikumbukwe ni mara ya pili juu ya tuhuma hizi kwa wale wanaofuatilia mambo mtakumbuka mwaka jana Rwanda iliwekewa vikwazo na serikali ya uingereza kwa kuhusika kwake na tuhuma hizi hizi
Ukweli wa mambo unajulikana Rais kagame anaendesha operations za kuiba madini nchini Kongo kwahiyo asingependa hata kidogo kuona kuna amani na ndio hata maana aliposikia Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania anamrisha JWTZ-TPDF kwenda kwenye ulinzi wa amani katika kikosi cha umoja wa mataifa(MANUSCO) alileta chuki binafsi na kuanza kumtolea maneno ya kejeli alipoambiwa afanye negotiations/mediations na FDRL
Jamii ya kimataifa imeshaliona hilo huu ni muda sasa wa kagame kutafutwa na kukamatwa akajibu tuhuma za kuwa adui wa amani ya CONGO kwa manufaa yake binafsi hivo basi natoa rai JWTZ,MANUSCO kwa weredi mkubwa hakikisheni operations za congo mnaunganisha na kumkamata kagame dead or alive kwa sababu anayo kesi ya kujibu ICC

naunga mkono hoja mkuu jamaa anavuruga aman ya EA
 
Usidhani ni jambo jepesi tu kumkamata kama vile unakamata kuku.

Vita sio bai koko.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mkuu kuwakamata wauza 'sembe' hapa kwetu imekuwa issue sembuse kumkamata Gen Kagame? Nchi hii ina story za Alinacha kwelikweli. Hebu tu focus kwenye mambo ya msingi yanayotufanya tuwe masikini,wanyonge na vijana wetu wengi kuwa mazezeta pia kupoteza heshima yetu kwa mataifa mengine.
waliotufikisha hapo tunawajua ila kutokana na udhaifu wa serikali yetu wanaachwa wanatamba hasa kwa vile wanachangia chama tawala. Habari ya Rwanda ni ya kimataifa na sisi tumepeleka mchango wetu Congo kwa ajili ya M23 na unatambulika kimataifa,basi.
 
Maendeleo ni pamoja na kupambana na changamoto za wanaotishia amani ya nchi kama PK

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums


Usishabikie mambo usiyoyajua.
Hizi ni tofauti za watu wawili wanaojuana tangu miaka ya themanini na hazitoshi kuwa sababu ya kutuingiza kwenye vita.

Vita huvijui ndo maana unaanika kutokujua kwako kwa kusema kuwa vita ni maendeleo; umepotoka kijana.

Unavyolijadili hili suala unaonekana kuwa wewe ni kijana mdogo sana.

Tumia muda mwingi kusikiliza; jifunze adhari za vita. Ukizijua adhari za vita vizuri, utajua ni kwanini mtu anayechokozwa na mwingine huona busara kutokumjibu na kwenda zake, halafu akatafuta siku wakajadili tofauti zao na kuzimaliza kidiplomasia na kusonga mbele na maisha.

Kwa taarifa yako, Vita vya Kagera vilituachia majeraha ambayo mpaka sasa hayajapona. Lakini kwa vile wewe ni kijana mdogo na damu inachemka masaa 24, haya mambo huyajui.

Koma kabisa kushabikia vita! Badala yake, mdai kiongozi wako program za maendeleo yako/yetu na utekelezaji wake.
 
Wakuu,

Mambo mawili ya msingi hapa:

1) vita ni vita na vita ni kuendeleza umaskini. Lakini zaidi ni kupoteza maisha, mali na miundombinu (kwetu ni sawa na kurudi squre one). Majigambo ya vita hayakosi, tumeishasikia 'hakuna atakayekufa'...uongo mtupu.

2) Kwa utawala uliopo kuamuru vita ni sawa na kuairisha mchakato wa katiba, uchaguzi 2015, na kukwepa kutimiza wajibu wa msingi kabisa dhidi ya tuhuma za hivi karibuni kuhusu madawa ya kulevya, ufisadi na rushwa. Hata hivyo, Tnz ni nchi huru na haiwezi shambuliwa na nchi yoyote hata kama tunamapungufu yetu ya ndani. Kama hatujashambuliwa, hatuhitaji kushabulia (busara zitumike ktkt hili maana uzito wa mambo ya ndani ni mkubwa ). Haina maana na ni unafiki mtupu kumpenda jirani yako kuliko unavyojipenda wewe.
 
Usishabikie mambo usiyoyajua.
Hizi ni tofauti za watu wawili wanaojuana tangu miaka ya themanini na hazitoshi kuwa sababu ya kutuingiza kwenye vita.

Vita huvijui ndo maana unaanika kutokujua kwako kwa kusema kuwa vita ni maendeleo; umepotoka kijana.

Unavyolijadili hili suala unaonekana kuwa wewe ni kijana mdogo sana.

Tumia muda mwingi kusikiliza; jifunze adhari za vita. Ukizijua adhari za vita vizuri, utajua ni kwanini mtu anayechokozwa na mwingine huona busara kutokumjibu na kwenda zake, halafu akatafuta siku wakajadili tofauti zao na kuzimaliza kidiplomasia na kusonga mbele na maisha.

Kwa taarifa yako, Vita vya Kagera vilituachia majeraha ambayo mpaka sasa hayajapona. Lakini kwa vile wewe ni kijana mdogo na damu inachemka masaa 24, haya mambo huyajui.

Koma kabisa kushabikia vita! Badala yake, mdai kiongozi wako program za maendeleo yako/yetu na utekelezaji wake.
Kwani JWTZ Congo wameenda kucheza viduku?,Sudani wameenda kuimba?Lebanon wameenda kutalii?-JWTZ wanapiganishwa vita ,mimi nilidhani utalalamika na hayo mambo pia?


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wakuu,

Mambo mawili ya msingi hapa:

1) vita ni vita na vita ni kuendeleza umaskini. Lakini zaidi ni kupoteza maisha, mali na miundombinu (kwetu ni sawa na kurudi squre one). Majigambo ya vita hayakosi, tumeishasikia 'hakuna atakayekufa'...uongo mtupu.

2) Kwa utawala uliopo kuamuru vita ni sawa na kuairisha mchakato wa katiba, uchaguzi 2015, na kukwepa kutimiza wajibu wa msingi kabisa dhidi ya tuhuma za hivi karibuni kuhusu madawa ya kulevya, ufisadi na rushwa. Hata hivyo, Tnz ni nchi huru na haiwezi shambuliwa na nchi yoyote hata kama tunamapungufu yetu ya ndani. Kama hatujashambuliwa, hatuhitaji kushabulia (busara zitumike ktkt hili maana uzito wa mambo ya ndani ni mkubwa ). Haina maana na ni unafiki mtupu kumpenda jirani yako kuliko unavyojipenda wewe.
Kwani intevention purpose ya TPDF na MANUSCO kongo ni nini?actually ni kupigana vita,hivyo basi vikosi vyetu tambua vinapiganishwa vita Darfur,Lebanon na visiwa vya komoro walijipanga kivita-sasa usishangae gharama analipa nani ?


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Bora ukose hela lakini siyo kufilisika akili.

Sisi hatuna huduma za msingi kama maji, umeme, huduma za afya, barabara, reli, elimu bora nk.
Tumepata wapi fedha za kuingia vitani????
Tangu lini Tanzania ikawa askari wa kanda hii ya Africa?
Nauliza, Tangu lini tumekuwa polisi wa ICC?
ICC haijui alipo PK ili kama wanashida naye wamfuate kwa gharama zao?


Wenzetu (Kenya, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini, Ethiopia) wanafikiria maendeleo ya nchi zao na watu wao lakini wewe ndo kwanza unaanza uchochezi wa vita??

Yaani hujaridhika na umaskini tuliyo nao unataka tuingie kwenye ufukara jumla?

Tafuta elimu uelewe adhari za vita maana wewe vita unaiskia tu!!!

Aibu kwenu ninyi wote mnao waza vita!!

Hatujapigana vita zaidi ya miaka 30 lakini bado umaskini ndo unazidi kuota mizizi Tz!!Kwanini??
Nani aliekwambia umaskini wa Tanzania utaongezeka tukisaidia jirani zetu wanadhulumiwa haki yao ya kuishi kwa Amani na maisha ya ndugu zetu yanateketea kila siku kwa sababu ya walafi wachache(Kagame na Mu7). Rasilimali za Wakongomani ziwaendeleze wakongomani sio Kigali au Kampala.
Tatizo ni elimu yako haikutosha ungeweza kuona madhara ya hawa majamaa baadae yakishakaa vizuri na kuuzoea unyonyaji wao.
Siku zote Afrika itabaki kua moja.
 
UN Forces of Intervention Brigade to Launch Attacks on M23 Rebels This Week
by AFROAMERICA NETWORK on JULY 30, 2013

Tanzanian Forces of the UN Intervention Brigade training in Eastern DRC in July 2013
"After 4pm on Thursday, 1 August[2013], they[any individuals in the area of North Kivu province that includes Goma and Sake who are not members of national security forces] will be considered an imminent threat of physical violence to civilians and MONUSCO will take all necessary measures to disarm them, including by the use of force in accordance with its mandate and rules of engagement," The United Nations peacekeeping mission in the Democratic Republic of the Congo (DRC), known as MONUSCO, announced today on July 30, 2013 threatening to use the UN Forces of the Intervention Brigade (FIB) to enforce a security zone in and around the provincial capital of Goma, in Easten Democratic Republic of the Congo (DRC).
This means that in 48 hours, the FIB is expected to launch ground attacks against M23 Congolese rebels supported by the Rwandan Defense Forces (RDF).
The statement by MONUSCO has also accused the M23 rebels of indiscriminate killings targeting civilians before and during the latest attacks. "In these attacks, the latest of which started on 14 July, the M23 has used indiscriminate and indirect fire, including by heavy weapons, resulting in civilian casualties," MONUSCO said.
MONUSCO also said that the military operations will be expanded to other areas to flush out the M23 rebels. The next most likely next area of operations could be Sake and Rutshuru. Last week, M23 rebels looted the town of Kiwandja and rounded up civilians, mostly young men forcing them to join its ranks (see our article: M23 Rebels Loot Kiwandja, in Eastern Democratic Republic of the Cong0, on July 26).
The 48 h ultimatum by MONUSCO may signal the start of the much awaited ground operations by the 3000 forces strong UN Intervention Brigade.
 
nafikiri hili limechelewesha sana, afrika tunazidi kuangamia kwenye mikono ya watawala wasiokuwa na utu, kagame , m7 ni majanga.
Sina shaka inteliginsia ya taifa letu inajua fika kwamba M7, PK na Kabila Jr lao moja! Sioni kama kuna effort za kutaka kujua kwa undani Kabila Jr ni nani hasa, wajomba zake na mama yake ni Wanyarwanda na wako Rwanda sio wa Kongo - wanachezea akili International Community. Rwanda na Uganda wamekwisha jipanga kupitisha wanajeshi kutokea upande wa Uganda, drones zisihishie ku-patrol mipaka ya Rwanda tu, Uganda watahusika moja kwa moja wala msifikili Uganda ilinunua Sukhoi M30 kwa ajili ya kujilinda, zilinunuliwa kwa ajili ya vita ndani ya Kongo, M7 na Kagame wanakumbuka walivyo pata kipigo kitakatifu kutokana na ndege za kivita za Zimbabwe ndio maana walijipanga na wao kununua ndege hizo kwa madhumuni ya kuendeleza vita huko GOMA/Congo - hawa jamaa akili zao ni kufikilia vita masaa yote na kutaka ku-dominate nchi za East and Central Africa kwa kuweka puppets wao, wako determined kweli kweli hawajali mateso/kuuwawa kwa raia wa kawaida wasio na hatia. Merikani na Jumuhia ya Ulaya imekwisha wapa onyo kwa muda mrefu sana sioni kama wanachukulia onyo hilo seriously kukaa kwao madarakani kwa muda mrefu kumewafanya kujenga kiburi na jeuri za kijinga. Binafsi naona kuna umuhimu Dunia kuhungana na kufanya mikakati iliyotumika ku-deal na Saddam Hussein once and 4all hakuna jinsi, time ya ku-deal na jamaa hawa ni now not later bila kufanya hivyo watakuja kusababisha maafa ya karne muda si mrefu; wame kwisha jiona hawana cha kupoteza.
 
Usishabikie mambo usiyoyajua.
Hizi ni tofauti za watu wawili wanaojuana tangu miaka ya themanini na hazitoshi kuwa sababu ya kutuingiza kwenye vita.
Vita huvijui ndo maana unaanika kutokujua kwako kwa kusema kuwa vita ni maendeleo; umepotoka kijana.
Kwa taarifa yako, Vita vya Kagera vilituachia majeraha ambayo mpaka sasa hayajapona. Lakini kwa vile wewe ni kijana mdogo na damu inachemka masaa 24, haya mambo huyajui.
Koma kabisa kushabikia vita! Badala yake, mdai kiongozi wako program za maendeleo yako/yetu na utekelezaji wake.

Eee Bwana na wewe koma kabisa kuwatisha watoto.
nani kakwambia kuwa mnyonge na kunyanyaswa na kina kagame na M7 ndio ufahari.
USA, ana majeshi katika Nchi ngapi?
Vita vya DRC vimetuathiri sana kwa ajili ya uvamizi wa huyo kagame huko kwani ndiye mwizi mkuu wa Madini.
Nani asiyefahamu kuwa ndiye aliyetungua ndege ya habyarimana walipotoka Arusha?
Acha Watanzania tukapigane maana hofu yako ni kuwa Rwanda itaingia tu katika hilo na Watutsi mtaabika
Uchumi wote wa DRC sasa unachukuliwa na Rwanda bado wanataka wapitishe mizigo Kigali toka Mombasa
Huwezi tawala Nchi yoyote bila vita hasa kwa hawa vidomidomo na katika Maandiko Vita vimo uliza kina Daudi, Solomoni mpaka kina Alexaner the great, Sasa hawa Watutsi watoke Ethiopia waje watawale amziwa Makuu na Tanzania tunyamaze huo Uchumi tutaendeleaje wakati Wakimbizi kila siku wako kwetu, Njia za reli kuvuka Ziwa Tanganyika kwenda Goma zimekufa.
Tafadhali usiwadanganye watoto kuwa wasiende kupigana huo ni UKIKE kabisa funga buti nenda mstari wa mbele pigana na huyo kagame kwanini kavamia Congo? sisi hatuendi Rwanda
Wasalimie waTutsi wenzako Koba murutongore waambie waliyoyataka sasa yanakuwa tunaenda wasaidia wenzetu DRC
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom