JWTZ katika ubora wao wa kiwango cha juu huko misitu ya Congo: Watunikiwa Medali

majirani wanaopenda kulinganisha ubora na ufanisi wa JTWZ na majeshi yao ktk medani za vita, inabidi wajitafakari sana.

Akweli ni kwamba JWTZ ni moja kati jeshi bora mno ktk ukanda huu wa east,south and central Africa.

Kwa kuthibitisha hilo,hivi karibuni MUNUSCO imewatunuku medali wanajeshi wa tanzania wanaopambana huko Congo.
na imewatunuku kutokana na uwezo wao wa kimapambano.

Video hii hapa: https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1085832648145006&id=100001548420196

Hapa chini nakuwekea picha maalumu za JWTZ zilizochukuliwa hivi karibuni wakiwa uwanja wa mapambano ktk misitu ya beni Congo DRC.

NB: habari,picha na video ni kwa hisani ya account ya Facebook ya mwandishi na correspondent wa ITV anayeripotia toka congo ndg. eshongulu eshongulu eshongulu almarufu kama Austere Malivika.

View attachment 343015View attachment 343016View attachment 343017View attachment 343018View attachment 343019View attachment 343020View attachment 343021View attachment 343022View attachment 343023View attachment 343024View attachment 343025View attachment 343026
Kwaiyo wamepewa medani kwa kulipua mizinga ya heshima Taifa
 
Kumaliza ubishi tuombe friend mechi ya vita kati ya JWTZ na KDF kwa wiki 2 hivi halafu majibu yatkuja nani zaidi
 
great thinker labda unifaham vizuri. Nikudokeze tu kidogo niko kwenye system. Nina mafunzo ya hali ya juu ya kupigana na kujilinda. Kwenye silaha ni hatari ninaweza kukushoot kwa nyuma bila kukosa shabaha nikielekeza mtutu upside down began huku nakimbia kwa kasi ya ajabu sana.
So what?
 
Yaani kwa kweli mtoa mada ana uelewa mdogo sana wa mambo ya kijeshi, katika picha nilizoziona hapo juu Kuna kitu gani cha ziada kuzidi majeshi mengine ya ukanda huu? Sababu naona silaha nyepesi ambazo ni ndogo ndogo na hata waasi wengi duniani humiliki silaha kama hizo, ungeweka picha ya tank /kifaru kikiwa kwenye action ingeleta hamasa

Kwa mujibu wa shirika la transparent international majirani zetu wamenunua silaha za kisasa kabisa, mfano kenya imenunua fighter jet za kisasa kabisa hivi karibuni na ambazo hakuna nchi nyingine ukanda huu yenye kumiliki ndege hizo, wakati huo Tanzania tunamiliki ndege za kizamani kabisa za mig 21 zilizooneshwa kwenye maonyesho national stadium mwaka Jana, na hatuna mpango wa kununua mpya

Uganda hivi karibuni imenunua helicopter za kisasa za mashambulizi, na vifaru vya kisasa kutoka German na radar ya kisasa,
Rwanda hivi karibuni imenunua kutoka China short and medium range surface to air missiles, pamoja na rocket launcher za kisasa pamoja na armoured vehicles kwa ajili ya infantry, Bila kusahau tanks za kisasa kutoka huko huko China

Halaf wewe unakuja na picha za wanajeshi wa jwtz wakiwa na maroketi yanayobebwa na baiskeli ya miguu mitatu ukidai jwtz inaogopwa kwa silaha kali, are you serious?

My take
East Africa sasa Kuna arms race isiyo rasmi, tumeona majirani wakinunua silaha za kisasa zinazopaswa kumilikiwa na jeshi la kisasa, hizi sio habari za vijiweni bali zimetolewa na mashirika makubwa yanayofuatilia uuzaji wa silaha dunia nzima kwamba Tanzania ndio ya mwisho kwa ununuzi wa silaha mbele ya Burundi tu katika EAC
Hii si habari nzuri, Tanzania tunatakiwa kununua silaha za kisasa zinazoendana na mazingira ya kisasa, ni muhimu kuboresha air force yetu ambayo ina Hali mbaya kufikia hatua nchi za magharibi kudai hakuna air force kabisa
Tusidangane kuwa Tanzania inanunua silaha kimya kimya, katika dunia ya leo huwezi kuficha vitu hivi

Enzi za vita ya idd amin zilishapita na mazingira yamebadilika, watanzania tuache sifa za kijinga, tujipange kukabiliana na changa moto za modern warfare
 
Yaani kwa kweli mtoa mada ana uelewa mdogo sana wa mambo ya kijeshi, katika picha nilizoziona hapo juu Kuna kitu gani cha ziada kuzidi majeshi mengine ya ukanda huu? Sababu naona silaha nyepesi ambazo ni ndogo ndogo na hata waasi wengi duniani humiliki silaha kama hizo, ungeweka picha ya tank /kifaru kikiwa kwenye action ingeleta hamasa

Kwa mujibu wa shirika la transparent international majirani zetu wamenunua silaha za kisasa kabisa, mfano kenya imenunua fighter jet za kisasa kabisa hivi karibuni na ambazo hakuna nchi nyingine ukanda huu yenye kumiliki ndege hizo, wakati huo Tanzania tunamiliki ndege za kizamani kabisa za mig 21 zilizooneshwa kwenye maonyesho national stadium mwaka Jana, na hatuna mpango wa kununua mpya

Uganda hivi karibuni imenunua helicopter za kisasa za mashambulizi, na vifaru vya kisasa kutoka German na radar ya kisasa,
Rwanda hivi karibuni imenunua kutoka China short and medium range surface to air missiles, pamoja na rocket launcher za kisasa pamoja na armoured vehicles kwa ajili ya infantry, Bila kusahau tanks za kisasa kutoka huko huko China

Halaf wewe unakuja na picha za wanajeshi wa jwtz wakiwa na maroketi yanayobebwa na baiskeli ya miguu mitatu ukidai jwtz inaogopwa kwa silaha kali, are you serious?

My take
East Africa sasa Kuna arms race isiyo rasmi, tumeona majirani wakinunua silaha za kisasa zinazopaswa kumilikiwa na jeshi la kisasa, hizi sio habari za vijiweni bali zimetolewa na mashirika makubwa yanayofuatilia uuzaji wa silaha dunia nzima kwamba Tanzania ndio ya mwisho kwa ununuzi wa silaha mbele ya Burundi tu katika EAC
Hii si habari nzuri, Tanzania tunatakiwa kununua silaha za kisasa zinazoendana na mazingira ya kisasa, ni muhimu kuboresha air force yetu ambayo ina Hali mbaya kufikia hatua nchi za magharibi kudai hakuna air force kabisa
Tusidangane kuwa Tanzania inanunua silaha kimya kimya, katika dunia ya leo huwezi kuficha vitu hivi

Enzi za vita ya idd amin zilishapita na mazingira yamebadilika, watanzania tuache sifa za kijinga, tujipange kukabiliana na changa moto za modern warfare
Basi sawa na asante kwa post ndefu.
 
Yaani kwa kweli mtoa mada ana uelewa mdogo sana wa mambo ya kijeshi, katika picha nilizoziona hapo juu Kuna kitu gani cha ziada kuzidi majeshi mengine ya ukanda huu? Sababu naona silaha nyepesi ambazo ni ndogo ndogo na hata waasi wengi duniani humiliki silaha kama hizo, ungeweka picha ya tank /kifaru kikiwa kwenye action ingeleta hamasa

Kwa mujibu wa shirika la transparent international majirani zetu wamenunua silaha za kisasa kabisa, mfano kenya imenunua fighter jet za kisasa kabisa hivi karibuni na ambazo hakuna nchi nyingine ukanda huu yenye kumiliki ndege hizo, wakati huo Tanzania tunamiliki ndege za kizamani kabisa za mig 21 zilizooneshwa kwenye maonyesho national stadium mwaka Jana, na hatuna mpango wa kununua mpya

Uganda hivi karibuni imenunua helicopter za kisasa za mashambulizi, na vifaru vya kisasa kutoka German na radar ya kisasa,
Rwanda hivi karibuni imenunua kutoka China short and medium range surface to air missiles, pamoja na rocket launcher za kisasa pamoja na armoured vehicles kwa ajili ya infantry, Bila kusahau tanks za kisasa kutoka huko huko China

Halaf wewe unakuja na picha za wanajeshi wa jwtz wakiwa na maroketi yanayobebwa na baiskeli ya miguu mitatu ukidai jwtz inaogopwa kwa silaha kali, are you serious?

My take
East Africa sasa Kuna arms race isiyo rasmi, tumeona majirani wakinunua silaha za kisasa zinazopaswa kumilikiwa na jeshi la kisasa, hizi sio habari za vijiweni bali zimetolewa na mashirika makubwa yanayofuatilia uuzaji wa silaha dunia nzima kwamba Tanzania ndio ya mwisho kwa ununuzi wa silaha mbele ya Burundi tu katika EAC
Hii si habari nzuri, Tanzania tunatakiwa kununua silaha za kisasa zinazoendana na mazingira ya kisasa, ni muhimu kuboresha air force yetu ambayo ina Hali mbaya kufikia hatua nchi za magharibi kudai hakuna air force kabisa
Tusidangane kuwa Tanzania inanunua silaha kimya kimya, katika dunia ya leo huwezi kuficha vitu hivi

Enzi za vita ya idd amin zilishapita na mazingira yamebadilika, watanzania tuache sifa za kijinga, tujipange kukabiliana na changa moto za modern warfare
Nafikiri wewe mkuu ndio una ukungu unaotisha juu ya vijana wetu wa JeiWaa katika medani za kivita.
Sisi wengine hatuwashabikii tu bali tumena wanavyoweza kuwasambaratisha even superior armies pande hizi za Afrika.
30-40 yrs ago jeshi letu bado lilikuwa na uwezo mkubwa tu wa kuangusha kisago, na siri si mavifaru ya kutisha na silaha nzito nzito-ni medani za kivita.
Kama wareno, kaburu na hata wazungu wa Kusini mwa Afrika waliweza kupigwa katika vita ambazo zilikuja kuthibitishwa kuwa zimeratibiwa Tanzania, jiulize inakuwaje basi wazungu walimua mambo yaishe.
Hatuongei sana juu ya Idi Amini kwa sababu siyo siri Jesi la Amin lilikuwa na vifaa vingi, tena vipya toka Libya na Urusi, ikiwa ni pamoja na Airforce nzuri tu, lakini they were beaten hands down.
Jisomee hizo medani na pengie utaelewa kwa nini Tanzania has an awesome fighting force.
 
Yule jamaa wa Arusha alimwita Rais bwege wakamaind na wakasema kamtukana Rais ndiomaana nami nimekariri kua ni tusi hadi jamaa atakapofutiwa kesi. (Am kidding, nimekuelewa mkuu)
Mkuu,
Ina maana nikikuita "bwege" nimekutusi?.

hilo si neno tu la kawaida la "kishkwambi".
 
Yaani kwa kweli mtoa mada ana uelewa mdogo sana wa mambo ya kijeshi, katika picha nilizoziona hapo juu Kuna kitu gani cha ziada kuzidi majeshi mengine ya ukanda huu? Sababu naona silaha nyepesi ambazo ni ndogo ndogo na hata waasi wengi duniani humiliki silaha kama hizo, ungeweka picha ya tank /kifaru kikiwa kwenye action ingeleta hamasa

Kwa mujibu wa shirika la transparent international majirani zetu wamenunua silaha za kisasa kabisa, mfano kenya imenunua fighter jet za kisasa kabisa hivi karibuni na ambazo hakuna nchi nyingine ukanda huu yenye kumiliki ndege hizo, wakati huo Tanzania tunamiliki ndege za kizamani kabisa za mig 21 zilizooneshwa kwenye maonyesho national stadium mwaka Jana, na hatuna mpango wa kununua mpya

Uganda hivi karibuni imenunua helicopter za kisasa za mashambulizi, na vifaru vya kisasa kutoka German na radar ya kisasa,
Rwanda hivi karibuni imenunua kutoka China short and medium range surface to air missiles, pamoja na rocket launcher za kisasa pamoja na armoured vehicles kwa ajili ya infantry, Bila kusahau tanks za kisasa kutoka huko huko China

Halaf wewe unakuja na picha za wanajeshi wa jwtz wakiwa na maroketi yanayobebwa na baiskeli ya miguu mitatu ukidai jwtz inaogopwa kwa silaha kali, are you serious?

My take
East Africa sasa Kuna arms race isiyo rasmi, tumeona majirani wakinunua silaha za kisasa zinazopaswa kumilikiwa na jeshi la kisasa, hizi sio habari za vijiweni bali zimetolewa na mashirika makubwa yanayofuatilia uuzaji wa silaha dunia nzima kwamba Tanzania ndio ya mwisho kwa ununuzi wa silaha mbele ya Burundi tu katika EAC
Hii si habari nzuri, Tanzania tunatakiwa kununua silaha za kisasa zinazoendana na mazingira ya kisasa, ni muhimu kuboresha air force yetu ambayo ina Hali mbaya kufikia hatua nchi za magharibi kudai hakuna air force kabisa
Tusidangane kuwa Tanzania inanunua silaha kimya kimya, katika dunia ya leo huwezi kuficha vitu hivi

Enzi za vita ya idd amin zilishapita na mazingira yamebadilika, watanzania tuache sifa za kijinga, tujipange kukabiliana na changa moto za modern warfare
You are a Great Thinker, proud to be in the same fam.
 
great thinker labda unifaham vizuri. Nikudokeze tu kidogo niko kwenye system. Nina mafunzo ya hali ya juu ya kupigana na kujilinda. Kwenye silaha ni hatari ninaweza kukushoot kwa nyuma bila kukosa shabaha nikielekeza mtutu upside down began huku nakimbia kwa kasi ya ajabu sana.
Mkuu umeshapatiwa mafunzo na kidon au hiyo style wanaiweza hao jamaa sana
 
!
!
Wakati wanajifanya wababe katika misitu ya huko Congo, huku kwetu misitu yetu haipitiki usiku mwisho ni saa nne tu. Shame on you wote mnaosifia ujinga kama huu wa kutafuta amani na usalama Congo meanwhile kwenu hakuna hiyo amani wala huo usalama. Pumbavu kabisa.


Huu mchezo hauhitaji hasira
 
Back
Top Bottom