kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
- Thread starter
- #21
Mkuu unaishi karibu na pori la mabwepande nini?!.mbona unahasira sana na jwtz?.!
!
Acha kukariri wewe.....kama majukumu yao ni hayo kwenye uchaguzi kule Zanzibara wakifata nini? kwenye opereheni tokomeza je? vipi mtwara nako kulikuwa na nini....au unafikiri kazi zao ni kucheza magwaride tu na kuvunja matofali ya udongo kwa vichwa?