Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Ujinga sio tusi bali ni hali; Hujui kitu basi unakuwa mjinga. Tusi ni kuitwa mpumbafu.Nashukuru ila hukuwa na haja ya kuniita mjinga. Anyway we are not the same.
Hukuwa unajua mandate ya wanajeshi wetu DRC lakini bado ukawadharau; ulichokifanya ni sawa. Nimesema mjinga kutokana na kutokuwa na taarifa sahihi lakini bado ukalidharau na kuwadharau wanajeshi.
But its over & out