Diamond anazidi kuweka rekodi zake na kuzidi kuishangaza dunia kwa ukali alionao
Wakati huu ameshinda tuzo kubwa duniani za MTV EMA kipengele cha Best african act
Hakuna Mtanzania aliyewahi kushinda hiyo tuzo, diamond ndio amefungua ukurasa huo kwa watanzania, hakika huyu mtu ni ICON
Matokeo ya regional categories kama hii 'Best African Act' huwa wanatangaza mshindi mapema ili washindi wake wapambanishwe kwenye category ya BEST WORLDWIDE ACT na Diamond atashindana na msindi wa India "PRIYANCA CHOPRA" , na upigwaji kura umefunguliwa tayari tumeshaanza kummwagia kura kama kawaida yetu
UTOAJI TUZO ITAKUWA NI TAR 25, MWEZI HUU ITALIA na mshindi atatangazwa siku hiyo
Kupiga kura ingia link hii ⬇ piga kura mara nyingi uwezavyo, unabonya neno vote pembeni ya picha ya diamond afu jibu unalopewa unakuwa unalikata (cancel) ili kuendelea kupiga kura ⬇
http://base.mtvema.com/vote
UUWIIII hongera sana diamond aisee..wewe ni kiboko yaoo mkuu