gekaboy
Member
- Nov 27, 2021
- 49
- 103
Kwnn nasema hvyo na kama ukibisha uwe na sabbu, diamond ndio msanii pekee ambaye anaweza kuimba style aina ya moja kweny mziki mfno bolingo, baikoko, hip-hop, normal bongo fleva, amapiano kwa ufupi anabadilika badilika sio stagnant kama wasaniii wengne ni kama msanii anaeweza kuvaa uhusika zaidi ya mmoja kama alivyo kuwa kanumba masikini anafiti , tajiri, mhuni, bwege, comedian
Hicho kitu wasaniii wengi Awana ndio maana diamond ataendelea kuwa juu kila siku na ndio msanii pekee anajulikana uko nje kwa sana japo wengne nao wanajulikan ila kwa sna ni diamond
Kwhyo watanzania tumpe jamaa respect yake wengne hao ni wasaniii wazuri ila tatizo ni stagnant awataki kubadilika
Hicho kitu wasaniii wengi Awana ndio maana diamond ataendelea kuwa juu kila siku na ndio msanii pekee anajulikana uko nje kwa sana japo wengne nao wanajulikan ila kwa sna ni diamond
Kwhyo watanzania tumpe jamaa respect yake wengne hao ni wasaniii wazuri ila tatizo ni stagnant awataki kubadilika