banizle
JF-Expert Member
- Dec 15, 2008
- 217
- 58
Huyu binti nlimpenda sana, I have never been this honest katika mahusiano yoyote nliyokua nayo before. Aliniaga anakwenda chuo Tabora. Kama wiki mbili zilizopita,nikampa baraka zangu zote nikamwambia Mama nenda lakini jua kwamba nakupenda sana naomba ulinde penzi letu, binti akaitikia, na mpaka leo mchana ninaongea nae kwenye simu najua yupo Tabora. Kuna rafiki yangu jioni hii kanipigia simu akaniuliza demu wangu yupo wapi? Nikamjibu Tabora, akashangaa akanambia dem wako namuona Mwenge dar, na kufanya asiwe na pakutokea msela wangu akaenda kumsalimia. Nimeamua kuachana nae for good, mana hii sio mara ya kwanza kunidanganya mara ya kwanza nlikosa ushahidi hivo nlimsamee. This tyme nimeamua nimuache aende zake. Naamini nime make the right decision wana jamii.