Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
FirstLady1 mzima? Nini chaguo lako sasa...kuna 1 mpaka mia moja. wengine hawapo kwenye hizo picha
Last edited by a moderator:
FirstLady1 mzima? Nini chaguo lako sasa...kuna 1 mpaka mia moja. wengine hawapo kwenye hizo picha
Sorry!
Nimetinga cha kike!
Nshatoka , viatu mkononi ntavalie nje !
teh teh teh...it must be me...ni PM ntakutumia picha yangu. Naogopa kumwaga mtama kwenye kuku wengi.
yako nilibahatika kuiona kwenye Avatar ila haikuwa nakichwa
Hebu nitumie PM niifanyie tathimini.
Una wivu eeh??! Hujui duniani kuna watu tumewazidi ña wengine wametuzidi...acha tufurahie uumbaji. Amini kuwa wewe ni one&only kwa la'aziz wako!Nimerudi kuchungulia full uzi , comment after comment nikadhani mazgo yangu nayo ime'select mtu hapa!
Ingem'costije!
Mmh! Sema tu zimekuvutia lips, raha yake zikolee lipgloss ña lipstick...lips adimu hzi!! Ha haHiyo avator yako...mbona kama mdomo umezidiwa na lipstick...teh teh teh
Mmh! Sema tu zimekuvutia lips, raha yake zikolee lipgloss ña lipstick...lips adimu hzi!! Ha ha
9,10,&12
Hawajazidi idadi inayotakiwa?
hapana aisee... mi hao watatu ni ngumu kuwatenganisha...
mmmmhhhh watabanana tu hivyo hivyo tu .. ilimradi niwaone wote :redface:The house will be too crowded kama hao jamaa wote watakuwa na picha zao kwenye kuta za nyumba yako...wote hao kila mmoja anajitosheleza....
mmmmhhhh watabanana tu hivyo hivyo tu .. ilimradi niwaone wote :redface:
Hahaha... Mi pia nisubiri tuongozane
Wewee Chezeya BJ, nipo quite proportion. Hivyo sijazidi huku wala kupungua kule...pettite bwanaa!!Of course zinalipa...sijajua design parameters nyingine zimekaaje. Si unajua kila kitu kinatakiwa kiwe kwenye ujazo sahihi ili soda iwe soda.
Wewee Chezeya BJ, nipo quite proportion. Hivyo sijazidi huku wala kupungua kule...pettite bwanaa!!
Jana nimemuota No.12 huku naongea aisee kasheshe lake leo nimenuniwa! Tatizo Mr. Mgumu kuelewa kuwa kuna watu wamemzidi!!
Asante.. hongera na wewe pia naona umetulia na ushungi juu...