Kumbe unapenda wasio watulivu eeh FirstLady1
Taye Giggs is the whole package for me..You should see him topless, ooh mine!! Hata Ndahani haoni ndani)
Kumbe unapenda wasio watulivu eeh FirstLady1
Taye Giggs is the whole package for me..You should see him topless, ooh mine!! Hata Ndahani haoni ndani)
By the way, who is Taye Giggs there? Nianze kujipima kabla ya kuanza mazoezi
No. 12 ndo Taye Giggs - yaani ujipime siyo kuwa upo nje ya mpambano kabisa?? ha ha
BelindaJacob, I tell you huyo jamaa haoni ndani...usiombe kuonana ana kwa ana....I might change your thinking for some weeks, teh teh teh.
Ndahani sikuwezi eti hao ndo vijana unaowafundisha..kisiwe kimezidi sana, hicho cha kwanza cheki nyonyo,mweeh!!View attachment 63877
Ona hii kitu ilivyosimama
View attachment 63878
Hawa vijana wangu ninaowafundisha
View attachment 63879
Na huyu ni Taye. BelindaJacob, wapi na wapi?
Ukisema hivyo hakikisha mzee yuko mbali...maana kama ni mnyalukolo anaweza kukuletea msiba usiku huu huu
I dare you hapo kwa bold..huh!! usikute ni kitambi cha nyama chomaz!!
Ndahani sikuwezi eti hao ndo vijana unaowafundisha..kisiwe kimezidi sana, hicho cha kwanza cheki nyonyo,mweeh!!
Kweli kabisa kitambi nimekipiga vita vilivyo vema, mwendo nimeumaliza, naona kimeishia. Zimebaki nyama tu
You can regulate the size in a week's time...si aina ya mazoezi tu unayofanya? Nimegundua. Kumbe unapenda strong guys but no big chest muscles! Unaogopa mabounsa wetu nini ambao mikono mikubwa na miguu kama imechomekwa kwa fundi cherehani?
No. 5 ni poa sana anaonekana mtulivu
uwiiiiiiiiiiiiiiiii! Speechless! So so so so yummy! Lol! Mmeniharibia siku, khaaaaaaaaaaa!View attachment 63877
ona hii kitu ilivyosimama
View attachment 63878
hawa vijana wangu ninaowafundisha
View attachment 63879
na huyu ni taye. belindajacob, wapi na wapi?
uwiiiiiiiiiiiiiiiii! Speechless! So so so so yummy! Lol! Mmeniharibia siku, khaaaaaaaaaaa!
Kwa hizo jitihada zote, angalia kisirudi tena..endeleza six packs watu wagongane mjini, he he
wengine wanafanya mazoezi tu kifua kinatanuka huko, miguu kama imechomekwa..eti namba 7..! sipendi vilivyopitiliza bwana maana mi mwenyewe nitaanza kuogopa!! vya kichokozi vizuri, mazoezi yamo ila hakijazidi kivileee!!
Mtulivu kama mimi....
Hongera..........