Jumuiya ya Afrika Mashariki kuvunjika, uroho wa madaraka wa Museveni na Kagame vyaiponza

Mkuu mbona koo hizo tawala mkoani Kagera kabla ya uhuru zinajulikana i.e A'bahinda, A'bahima, A'bankango nk. Hivi inaingia akilini kwamba Serikali yetu inaweza ku-victimise Wahaya na Makabila mengine kutokana na nasaba ya koo hizo tawala za zamani, specifically A'BAHIMA.

Mimi nafikili Serikali yetu ina vyombo mahili vya kuchunguza background za wahusika wote bila ya kuwaonea kutokana na propaganda zisizo na ukweli wowote.
Mkuu wangu abahima,abahinda na abankango wote hawa kwa asili ni Bahima. Kama pengine hujui taasisi zetu za ulinzi na usalama kuna ukabila mkubwa. Na kama unavyojua wengi wa watawala wetu ni wanapata uongozi kwa njia za kihuni,hawa hawataki kabisa kuzungukwa na watu weledi na wanaojiamini, matokeo ni hizi hujuma za kipumbavu unapofika wakati kuna nafasi kama hizi.

Wanatambua mhaya siyo mtu wa kuburuzwa kiholela, kwa hiyo hata kama ndiye chaguo namba namba moja anafanyiwa njama! Tuna vijana wetu ktk majeshi na taasisi za usalama wanalalamikia ubaguzi wanaokutana nao huko.

Mwisho utakuja sikia kama mtu kama mama Tibaijuka atasema anataka kuomba ridhaa ya CCM kugombea Urais wa JMT hawa wabaguzi watasema ametumwa na Museveni na Kagame!!!
 
Ndoto ya siku nyingi ya Wanyarwanda (Watusi) ya KUTEKA na KUTAWALA eneo lote la Maziwa makuu (DRC, Uganda, Rwanda, Burundi, TZ na Kenya), inaelekea kutimia.

Baada ya kuzitawala Uganda (Gen.Yoweri K. Mseveni), Rwanda (Gen. Paul Kagame) na DRC (Gen. Hypolite Adrian Christophe Kanambe a.k.a Joseph Kabila ambaye ni ndugu wa damu wa Mkuu wa Majeshi ya P. Kagame yaani James Kabarebe).

Sasa Madikteta hao 3 wa maziwa makuu wako hatua za mwisho za kuivamia TZ aidha Kijeshi kama walivyochukua madaraka ya nchi hizo au kiujanja kupitia rushwa wanazowahonga viongozi wetu na kujikuta wakiwagawia vyeo sekta vyeti za maofisa wa TISS, Ofisi za mawaziri, na hata Ikulu eti wengine ndio washauri na walinzi wa Marais wetu, Uhamiaji, TRA, TBS, Polisi, Magereza, JWTZ nk, ardhi wanapewa kama njugu hidi ekari 500, hivyokujikuta TZ ikichukuliwa bila jasho. .....

Bomu hili limetolewa na Mtikila siku chache zilizopita. Na ameitaka serikali kutodharau angalizo hili. Anyway, wacha wajuvi wa hili jambo watujuvywe.
 
Kuna mtutsi mmoja namfahamu vizuri,anaitwa Henry Kafu kwa sasa yupo usalama wa taifa.hii nchi ya ajabu sana
 
mkuu wangu abahima,abahinda na abankango wote hawa kwa asili ni Bahima. Kama pengine hujui taasisi zetu za ulinzi na usalama kuna ukabila mkubwa. Na kama unavyojua wengi wa watawala wetu ni wanapata uongozi kwa njia za kihuni,hawa hawataki kabisa kuzungukwa na watu weledi na wanaojiamini,matokeo ni hizi hujuma za kipumbavu unapofika wakati kuna nafasi kama hizi. Wanatambua mhaya siyo mtu wa kuburuzwa kiholela,kwa hiyo hata kama ndiye chaguo namba namba moja anafanyiwa njama! Tuna vijana wetu ktk majeshi na taasisi za usalama wanalalamikia ubaguzi wanaokutana nao huko. Mwisho utakuja sikia kama mtu kama mama Tibaijuka atasema anataka kuomba ridhaa ya CCM kugombea Urais wa JMT hawa wabaguzi watasema ametumwa na Museveni na Kagame!!!

Mkuu nakubaliana nawe kuna baadhi ya Watanzania wenzetu ambao wame kubuhu katika mambo ya fitina, uzishi na kutoyapenda baadhi ya makabila/watu fulani bila sababu za msingi - watawazulia chochote cha kubuni tu ili waonekane hawafahi, mpaka sasa hivi kwa mfano: Wanasema Prof. A.K Tibaijuka ni mchapa kazi anajituma na kujiamini, wanampa sifa hizo lakini ateuliwi kuwa mjumbe wa NEC JAMBO HILI LINISHANGAZA SANA!! Je mama huyu akiomba ridhaa ya CCM kugombea Urais wa JMT sijuhi wana weza kummzulia kitu gani cha kutunga TU. Tusipokuwa makini swala la Abahima linaweza kutumiwa na watu wenye nia mbaya kuwa-victimize raia wasio na hatia!!

Tunamshukuru Castro bin Mao Tse Tung kwa kutupa tahadhali lakini naona mambo mengine ameweka chumvi mno na yanaweza kuleta hisia mbaya miongoni mwa Watanzania kuhusu Wanyarwanda baadhi ya mabo aliyo yazungumza humu hayana ukweli wowote; katika kukua kwangu watu wa Kagera hawajawahi kukorofishana na Wanyarwanda tangu enzi na enzi, Wanyarwanda/Warundi na Wanyankole (Abalalo) walikuwa na kawaida ya kuleta ng'ombe wao marishoni upande wa Tanzania wanakaa kwa muda alafu wanarudi kwao sio kwamba wanahamia moja kwa moja Tanzania, sikumbuki kuambiwa kwamba jamaa hawa wana tabia ya kuharibu mazingira! Labda kama wamebadilika siku hizi. Castro kama anataka kuwatetea Wasukuma aseme, lakini siyo vizuri kuwazulia Wanyarwanda.

Mimi binafsi huwa na kawaida ya kuwa sema sema sana Mh. Kagame na Mh.M7 - lakini sio kwa nia mbaya au nina chuki nao kama binadamu la asha - huwa nakerwa na vitendo vyao ndio sivipendi - basi! M7 mwenyewe alisha wahi kuishi Muhutwe Kihanja, mkoa wa Kagera ni kama nyumbani kwao tu hata lugha na tamaduni za Kinyankole hazina tofauti yoyote na lugha/tamaduni za Kihaya, mimi siamini kama tunaweza kufikia hatua ya kukorofishana/pigana na Wanyarwanda/ Warundi au Wanyankole.
 
Mkuu nakubaliana nawe kuna baadhi ya Watanzania wenzetu ambao wame kubuhu katika mambo ya fitina, uzishi na kutoyapenda baadhi ya makabila/watu fulani bila sababu za msingi - watawazulia chochote cha kubuni tu ili waonekane hawafahi, mpaka sasa hivi kwa mfano: Wanasema Prof. A.K Tibaijuka ni mchapa kazi anajituma na kujiamini, wanampa sifa hizo lakini ateuliwi kuwa mjumbe wa NEC JAMBO HILI LINISHANGAZA SANA!! Je mama huyu akiomba ridhaa ya CCM kugombea Urais wa JMT sijuhi wana weza kummzulia kitu gani cha kutunga TU. Tusipokuwa makini swala la Abahima linaweza kutumiwa na watu wenye nia mbaya kuwa-victimize raia wasio na hatia!!

Tunamshukuru Castro bin Mao Tse Tung kwa kutupa tahadhali lakini naona mambo mengine ameweka chumvi mno na yanaweza kuleta hisia mbaya miongoni mwa Watanzania kuhusu Wanyarwanda baadhi ya mabo aliyo yazungumza humu hayana ukweli wowote; katika kukua kwangu watu wa Kagera hawajawahi kukorofishana na Wanyarwanda tangu enzi na enzi, Wanyarwanda/Warundi na Wanyankole (Abalalo) walikuwa na kawaida ya kuleta ng'ombe wao marishoni upande wa Tanzania wanakaa kwa muda alafu wanarudi kwao sio kwamba wanahamia moja kwa moja Tanzania, sikumbuki kuambiwa kwamba jamaa hawa wana tabia ya kuharibu mazingira! Labda kama wamebadilika siku hizi. Castro kama anataka kuwatetea Wasukuma aseme, lakini siyo vizuri kuwazulia Wanyarwanda.

Mimi binafsi huwa na kawaida ya kuwa sema sema sana Mh. Kagame na Mh.M7 - lakini sio kwa nia mbaya au nina chuki nao kama binadamu la asha - huwa nakerwa na vitendo vyao ndio sivipendi - basi! M7 mwenyewe alisha wahi kuishi Muhutwe Kihanja, mkoa wa Kagera ni kama nyumbani kwao tu hata lugha na tamaduni za Kinyankole hazina tofauti yoyote na lugha/tamaduni za Kihaya, mimi siamini kama tunaweza kufikia hatua ya kukorofishana/pigana na Wanyarwanda/ Warundi au Wanyankole.

Mkuu wangu kumbe wewe ni mjuvi wa historia na tamaduni za Kagera! Huwa nikiona sredi za kuwashambulia wahima kijumla jumla najiuliza kama wahausika wanailewa historia kwamba koo hizo za Wahima zilitawala mpaka kaskazini magharibi ya nchi yetu. Kwa hiyo kisitumiwe kigezo cha jamii ndogo ya Kitutsi kuihutumu jamii yote ya Wahima ambayo imeishi kwa amani ktk eneo hili la nchi za maziwa makuu.
 
Kuna mtutsi mmoja namfahamu vizuri,anaitwa Henry Kafu kwa sasa yupo usalama wa taifa.hii nchi ya ajabu sana

Mkuu inawezekana unasema kweli lakini unawezekana hauko sahihi kwasababu haujui unaweza ukawa unadhani mhaya,muha,mnyambo,mhangaza,msubi,nk ni mnyarwanda kumbe ni Mtanzania! Wananchi wa Kagera wanafahamiana vema kwa hiyo issue ya wahamiaji ni rushwa za watendaji kama ilivyo huko Kilosa na Lindi ambapo wafugaji wa Kisukuma na Kimasai wamejigeuza miungu watu!
 
Mdau hii hoja imeshiba sana kwa yeyote anayetafakari kwa kina ila yoyte haya yanatokana na; UZEMBE, UBINAFSI, RUSHWA, KUJUANA NA UZEMBE WA KUFIKIRI WA VIONGOZI WAANDAMIZI.


Kukomaa kwa rushwa nchini kulikofugwa na kuendelezwa na viongozi wetu waandamizi. Pia uwezo mdogo wa kufikiri wa viongozi wetu kwani wengi wanachaguliwa kwa kuzingatia nani unamfahamu na si ujuzi wa nini unakifahamu. Vyeo vya kurithishana na upendeleo unaofanywa waziwazi katika nafasi nyeti za Taifa kama Usalama wa Taifa, Uhamiaji, Magereza, TRA, TBS, Ardhi, Polisi, JWTZ hata Mawaziri watoto wa viongozi wakubwa waliopita na waliopo wanamegewa tu nafasi za kuingia katika baraza la Mawaziri hebu wachunguze; Malima, January Makamba, Husein Mwinyi, Mathayo David (Msuya). Kama Malima waliyafanya madudu na Ngeleja iweje yeye ahamishwe Wizara. Mbona Nundu na Mfutakamba wote wlitupwa nje?

Lakini pia tumepigwa upofu mkubwa kwani kwa sasa Usalama wa taifa umekewa ni usalama wa maslahi binafsi ya viongozi wa taifa na CCM na washirika wao. R.I.P Prof. Juan Mwaikusa. Inasikitisha sana kwa nini kumekuwa na vifo vya kutatanisha vya majaji na mawakili lakini serikali haina lolote inalofanya, mbona waliomwua Baro Mwanza walikamatwa ndani ya wiki je hawa waliomwua Mwaikusa wameota mabawa. Hivyo vyombo vya dola vinaona upande mmoja?

Kama askari wa mipakani na uhamiaji wapo kila uchao huko hao Wanyarwanda wanapenya vipi na kuingia nchini tena wakiwa na mifugo kwa maelfu. Mbona ndugu zetu wa Mtwara wanapohoji haki zao wanatumiwa majeshi na kutulizwa ndani ya siku moja, serikali imeshindwa nini kupeleka JWTZ katika mapori ya mikoa ya Kagera, Geita na Kigoma kuwafagia wachungaji haramu hao?


Wanayrwanda hivi sasa wanasoma Kiswahili kwa nguvu zote lengo lao kubwa ni kuja kuishi Tanzania na bado wazembe kama huyo Mkuu wa Wilaya ya Muleba wanakumbatiwa ili wazidi kuwaimarisha wavamizi wa Kitutsi nchini mwetu.
 
Mkuu nakubaliana nawe kuna baadhi ya Watanzania wenzetu ambao wame kubuhu katika mambo ya fitina, uzishi na kutoyapenda baadhi ya makabila/watu fulani bila sababu za msingi - watawazulia chochote cha kubuni tu ili waonekane hawafahi, mpaka sasa hivi kwa mfano: Wanasema Prof. A.K Tibaijuka ni mchapa kazi anajituma na kujiamini, wanampa sifa hizo lakini ateuliwi kuwa mjumbe wa NEC JAMBO HILI LINISHANGAZA SANA!! Je mama huyu akiomba ridhaa ya CCM kugombea Urais wa JMT sijuhi wana weza kummzulia kitu gani cha kutunga TU. Tusipokuwa makini swala la Abahima linaweza kutumiwa na watu wenye nia mbaya kuwa-victimize raia wasio na hatia!!....

Mungu akurehemu hujijui wewe! mara nyingi adui anapenda kutumia udhaifu ulionao. Tumeshaongozwa na katibu mkuu mtusi huku akijaza watusi wenzake kwenye kurugenzi zote za wizara.
 
Ngoja 2015 ifike uone kama cdm watakavyobadilisha hali halisi.Kwani hata hii eac tutajitoa ili tujiimarishe kiuchumi,kisiasa kwanza.
 
Mungu akurehemu hujijui wewe! mara nyingi adui anapenda kutumia udhaifu ulionao. Tumeshaongozwa na katibu mkuu mtusi huku akijaza watusi wenzake kwenye kurugenzi zote za wizara.

taja jina la huyo katibu mkuu na ueleze kwanini wewe unadhani ni mtutsi!
 
Peter serukamba mtusi mbunge kigoma mjini, aliibuka from nowhere mpaka leo hakuna anaejua kwao ni wapi wala amesoma wapi!
 
Mungu akurehemu hujijui wewe! mara nyingi adui anapenda kutumia udhaifu ulionao. Tumeshaongozwa na katibu mkuu mtusi huku akijaza watusi wenzake kwenye kurugenzi zote za wizara.

Mkuu kiswahili changu sio kizuri sana lakini sijuhi una maana gani unaposema Mungu anirehemu!!! Kitu kingine mimi sio mbumbumbu katika maswala ya usalama nimepitia jeshini kwa hiyo sio mgeni katika mambo ya ulinzi wa Taifa letu tulijifunza kuhusu njia ambazo maadui wanaweza kuzitumia na jinsi ya kujihami dhidi yao.

Ni kweli wakati mwingine adui anaweza kutumia udhaifu uliopo, anaweza kutumia udhaifu wakati kuna amani nchini sio wakati kuna uhasama, kama kuna uhasama ni rahisi kuwatia mbaroni wahasimu wako kwa kuwa wengi wao wanajulikana asili zao na uraia wa Tanzania waliupata lini; kwa mfano wewe ulijuwaje kwamba nchi yetu iliwahi kuongozwa na katibu mkuu Mtutsi ambaye unasema alijaza Watutsi wenzake kwenye kurugenzi zote za wizara hii inadhihilisha kwamba kumbe Watanzania tuko makini katika utambuzi wa wageni wakazi karibu WOTE. (nafikili katibu Mkuu unaye msema alikuwa ni mwenyeji wa Ngara au Kigoma, kumbuka wenyeji wa huko lugha yao inarandana na Kinyarwanda hii haina maana kwamba wao ni Wanyarwanda au Watutsi!!! Wakati mwingine tunapaswa kuwa makini)

Hivi kweli Tanzania hii hatuna RAIA wenye asili ya Kinyarwanda/Kitutsi - mbona Serikali ya awamu ya kwanza iliwahi kuwapatia uraia wa Kitanzania wakimbizi wa Kinyarwanda/Kirundi bila kujali kama ni Wahutu,Watutsi au Watwa - hivi tutakua tunawatendea haki tukisema wasiajiliwe Serikalini au kwenye Mashirika ya umma hata kama wana sifa za kuajiliwa, waendelee kubaki tu vijijini wakilima ndizi na mahindi ?? Mkuu usiwe na wasi wasi Serikali yetu ina mbinu nyingi za kuwafatilia jamaa hawa endapo patatokea uhasama kati yetu na RWANDA.
 
Peter serukamba mtusi mbunge kigoma mjini, aliibuka from nowhere mpaka leo hakuna anaejua kwao ni wapi wala amesoma wapi!

Mkuu si unasema una uhakika ni MTUTSI, sasa inakuwaje anasema hakuna anaye juwa kwao ni WAPI? Je ni mbuge wa kuteuliwa na Rais au Mbunge wa kuchaguliwa na wenyeji wa Kigoma, kama ni wakuchaguliwa na wenyeji wa Kigoma wanao mfahamu aslili yake - sisi watu baki tunawezaje kumtambua zaidi kuliko wenyeji wa HUKO, unless na wewe ni mwenyeji wa Kigoma hapo tunaweza kukuelewa!!
 
Too bad many people here fall for this BS,na this kind of articles/post is a classic copycat of what happened in Rwanda genocide,watu wanafikiri it takes a lot for genocide to happen,mmewahi kufikiria kwanini mwizi akishikwa sokoni anapigwa mpaka kufa hata kama ameiba andazi na haijalishi ni kweli kaiba au hajaiba?mnakumbuka politics za mtikila alivyo incite watu wakaanza kurushia mawe na kuwatukana wahindi bila sababu?na wengi wakaamini umaskini wao ni kwa ajiri ya wahindi?...kwa Rwanda it was very simple na mkiamua kuingia deep kidogo tuu mka study with facts and no bias you will know the truth.
Inaonekana makala hii inakukugusa moja kwa moja ndio maana unajihami kwa kuleta mifano isiyohusiana na suala la Kagame na Museveni kutaka kuitawala EAC kama inavyoonyesha kwenye mipango yao. kwa taarifa yako waTZ tumeshtuka waambie wenzio mkome huo mpango mara moja...lasivyo matakiona kilichomtoa nduli Idd Amin Dada.
 
Ndoto ya siku nyingi ya Wanyarwanda (Watusi) ya KUTEKA na KUTAWALA eneo lote la Maziwa makuu (DRC, Uganda, Rwanda, Burundi, TZ na Kenya), inaelekea kutimia.

Baada ya kuzitawala Uganda (Gen.Yoweri K. Mseveni), Rwanda (Gen. Paul Kagame) na DRC (Gen. Hypolite Adrian Christophe Kanambe a.k.a Joseph Kabila ambaye ni ndugu wa damu wa Mkuu wa Majeshi ya P. Kagame yaani James Kabarebe).

Sasa Madikteta hao 3 wa maziwa makuu wako hatua za mwisho za kuivamia TZ aidha Kijeshi kama walivyochukua madaraka ya nchi hizo au kiujanja kupitia rushwa wanazowahonga viongozi wetu na kujikuta wakiwagawia vyeo sekta vyeti za maofisa wa TISS, Ofisi za mawaziri, na hata Ikulu eti wengine ndio washauri na walinzi wa Marais wetu, Uhamiaji, TRA, TBS, Polisi, Magereza, JWTZ nk, ardhi wanapewa kama njugu hidi ekari 500, hivyokujikuta TZ ikichukuliwa bila jasho.....

Kwa nini Nyerere aliruhusu Watusi waingie nchini kiholela namna hiyo?Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo tokea ipate uhuru imeingiza mamilioni ya wageni na hasa hao Watusi.

Ni kweli tunamuenzi Nyerere lakini kwa hili yeye amehusika kuuratibu mpango huu wa Watusi kuitawala Afrka Mashariki.CHADEMA ANGALIA MAMLUKI WA KITUSI,KAMA WAMO WAONDOENI HARAKA SANA.
 
Kwa kuongezea tu NI KWELI Wanyaru wameteka Hizi wilaya!!GEITA,BIHALAMULO,CHATO,MULEBA, NGARA!, na hata ukitembelea sehemu moja inaitwa Busanda, kule kuna wanyarwanda wengi na wanavyeti vya Uraia!,Bado tena ukija maeneo ya Katoro&buseresere hapa utakutana na Walimu wengi,hadi afisa MIFUGO WA KATA YA BUSERESERE NI MNYARWANDA PURE!,,ukienda tena maeneo ya Bwanga Mikonto hivi ni vijiji! Serikali imewapa mapori.na wameweka mifugo zaid ya 5000,! Kuna mzee mmoja anaitwa Kafugunya huyu mzee kaamisha kizazi chake chote kutoka rwanda kaleta tz, Wanae ndo wamiliki wa Guest moja maarufu inaitwa Gk guest hous,SILENT EXCUTIVE GUEST HOUS,!

haya mnosema ooh majina hakuna, majina hayo hapo sasa wahusika yashughulikieni....
 
kuwa na watu wa mataifa mengine kwenye idara nyeti kama usalama wa taifa sio tatizo hata kidogo, tena wakiwa ni wapelelezi wa nchi zao ni nzuri zaidi, kwani kwa kuwatambua kuwa wapo inatoa mwanya wa kuwafuatilia na kujua information gani wanapeleka kwa kujua hilo ni rahisi kuwalishe information fake ili nasi tufanikiwe ktk tunayoyataka (kama tuko makini lakini).

RAI YANGU NI KUWA SIKU TUKISIKIA RAIS AMEFANYA UTEUZI KWA KUMTEUA YULE AMBAYE HAKUTARAJIWA TUSIKIMBILIE KULAUMU, KWANI UWEZI JUA YULE TUNAYEMTAKA LABDA KWA KUWA MTENDAJI MZURI KWA NJE , JE NI MWENZETU KWELI?

CHA MSINGU NI KUWATAMBUA KUWAFUATILIA NA KUWAACHA ILI WAONYESHE CHANEL NA USHUSHU WA NCHI HIZO.

 
Haya mambo sio ya kudharau tu, watu wa mipakani mwa Uganda na Rwanda wanalalamika sana kuhusu kunyanyaswa na wageni, malalamiko yao yameshulikiwa vipi, kwa sababu sidhani kama wanaweza wakawa wanalalamika tuu bila sababu yoyote.

Pia kuna maswala juu ya hii EA Federation ambayo naona yana utata bado, raisi anayeongoza nchi kwa miaka 15, 20 au zaidi mfululizo huyo ni wa kuwekewa question mark, bila kujali katiba ya hiyo nchi inasema nini.

Mauaji waliofanyiana wanyarwanda (pande mbili ziliuana), mauaji ya Kongo na responsabilities za Kagame hayo ni maswala mengine, la muhimu na linalolitisha zaidi ni hizi tuhuma za watutsi kuweka empire mpaka huku tz kwa kutumia EA Federation

Mseveni na Kagame wapo madarakani kwa muda mrefu, na wanahusishwa negatively na mapigano ya Congo

Inakuwaje Rwanda na Burundi kuingizwa kwenye hii Federation wakati ni nchi za Central Africa, kama ni Federation ilitakiwa iwe na nchi tatu tu zinazojulikana kama nchi za Africa mashariki..halafu zaidi ya hapo mwenyekiti ni rais wa Burundi...

Maadam Rwanda na Uganda inahusishwa na mapigano ya Kongo na Rwanda imeshawekewa vikwazo vya uchumi, whether thats true or not, ni vema hizi shughuli za kuendeleza hii EA Federation zisitishwe mara moja hatimaye ivunjwe kabisa. Inanuka damu mpaka za vichanga, giza, unafiki, uroho wa madaraka, mali asili na ardhi. HATUITAKI tunalazimishwa tuu.
 
Mkuu si unasema una uhakika ni MTUTSI, sasa inakuwaje anasema hakuna anaye juwa kwao ni WAPI? Je ni mbuge wa kuteuliwa na Rais au Mbunge wa kuchaguliwa na wenyeji wa Kigoma, kama ni wakuchaguliwa na wenyeji wa Kigoma wanao mfahamu aslili yake - sisi watu baki tunawezaje kumtambua zaidi kuliko wenyeji wa HUKO, unless na wewe ni mwenyeji wa Kigoma hapo tunaweza kukuelewa!!

Peter Serukamba ni mtusi pure na wakati wa kampeni zake za ubunge wa Kigoma mjini kwa mara ya kwanza mwaka 2005 fund ilitoka Rwanda kwa watusi wenzake na vikao vilikuwa vinafanyika kwenye hoteli ya Lake Tanganyika na kwenye ile hotel ya kwa Shen kama unaelekea gereza la Bangwe njia ya kwenda Katonga.Hii ndo nchi yetu kwa taarifa yako, usitake tukupe data zote za watusi waliopo kwenye system tunazo.Ulizia hao wanaojiita akina Dr.Ntakamulenga wa mazingira sijui NEMC na akina Ntukamazina data utapewa pia na wote wapo kwenye system wanakula wakati wazawa tunakufa njaa
 
Back
Top Bottom