Jumuiya ya Afrika Mashariki kuvunjika, uroho wa madaraka wa Museveni na Kagame vyaiponza

pamoja na kwamba kuna chumvi na pilipili.... hii kitu ina kila elements za kaukweli japo kidogo

kuna evidence nyingi na signal nyingi sana kiasi kwamba kuziacha hivihivi ni laana
 
You said it very well! :A S thumbs_up:

Mkuu siwezi kukubishia maana enzi zile usalama wa taifa ulifanya kazi kama hizi kafuatilia mambo kama haya,pindi dodoso kama hizi zilipopatikana.Pamoja na kwamba uzi huu umemtaja mwalimu Nyerere,kama mmoja wapo wa waliofuga mfumo huu wa tutsi empire,lakini usalama wa taifa kipindi kile ulikuwa umekaa vizuri.
Na inteligence ilikuwa inteligence kweli siyo kama mfumo wa sasa wa kupeleka waliofail mitihani ya form four ilhali wana ndugu zao wanaowaback up.
Usalama wa taifa umebaki kuilinda ccm na siyo nchi.Zamani watu walikuwa mipakani ukiwaona utadhani hawana kazi lakini habari ziliweza kufika kunakohusika ndani ya siku moja.Miradi yote mikubwa iliyoanzishwa nchi wanausalama wa taifa waliajiliwa kama wataalam huku wakichunguza mambo yanayohusu usalama wa nchi,leo hii nchi ina miradi mikubwa unafanyika usalama wa taifa sifuri eti tunategemea habari kutoka kwa raia wema!Mambo haya siku hizi yamebinafsishwa eti ulinzi shirikishi,sishangai unaposema kuna wanajeshi na polisi wa kigeni nchini huo ndo ulinzi shirikishi wenyewe.Siku hizi hata mwizi analinda mtaa ilhali amejitolea kulinda kumbe unafanya upelelezi wa mitaa tulivu wakati wa usiku na mitaa yenye watu wasiolala,akiisha kamilishja anakuja anaiba.
Uzi huu sio wa kupuuza,usalama wa taifa kama mpo fanyeni uchunguzi wa kina kubaini ukweli.Mipango kama hii ikiwepo watakaoumia wa kwanza ni ninyi wakubwa mtakapoanza kutawaliwa wakati mlizoea kutawala,sisi wadogo tumezoea kutawaliwa,kula kilichosalia maumivu kwetu yanaweza kuwa sawa na hakuna.
 
Mdau nondo yako imetulia tatizo umepata wapi mashiko yake?!!


Sent via EyePhone
 
Nyeti ni kwamba mauaji ya Prof: Mwaikusa yaliratibiwa na huyo bwana Kagame tatizo usalama wetu wa taifa wapo linient sana siku hizi labda wanafanya mambo kisiri.
 
kuna tatizo la kuwaogopa watutsi kupita kiasi.Mtoa mada nae anajaribu kutuchezesha ngoma tusiyoijua,yeye ni mhutu-mtanzania nadhani anatokea bihamuro ambapo wako tutsi tanzanian na hawa hutu tanzanian na wana mambo yao ya chuki za huko kwao wanazileta mpaka hapo biharamuro na mahali popote tanzania walipo na nafasi,nadhani wafuatiliaji wa mambo mtakumbuka mzee mkapa alipowatoa nishai vigogo wa kitutsi walipotaka kumuwekea kauziba kigogo mwenye asili ya kihutu ili asimpe post,mkapa akawaambia acheni ujinga wenu nampa kwa kuwa nae ni mtanzania kama nyinyi,hata issue ya jenerali ulimwengu ilimpunguzia sana umaarufu mzee mkapa miongoni mwa tutsi tanzanians lakini hakujali
 
Hoja zako ndefu hazina mashiko, you look to be mchochezi tu.
In a civilised society we can't believe in your negative imaginations.

Hawa jamaa wako very clever, what they do ni kuwaambia watu wao watafute opportunity popote zilipo na their people wanasikiliza na kufanya kazi.

Tuache majungu, this world is ours regardless wewe uko wapi, check mfano wa US watu wa mataifa yote wapo hapa and nobody cares, kila mtu nikuhangaika na his own life.

Tuamke tupambane opportunities zipo na ziko every where you go you need to work very hard.
Kulalama hakutatusaidia milele.WAKE UP GUYZ
 
Hii habari ina viashiria vya ukweli, iweje mauaji ya Prof. Mwaikusa yaachwe hivihivi bila uchunguzi wowote? pia tujikumbushe kuna makala moja ilichapishwa na gazeti la mwanahalisi kipindi cha nyuma kuhusu uhusiano wa J.Kabila na Wanyarwanda, hapa kuna kitu kinafichwa. Naomba vyombo vya usalama vifuatilie ukweli wa taarifa hizi na kuchukua hatua stahiki mara moja, la sivyo waTZ tutakwisha.
 
Pasipo shaka mtoa mada na REV MTIKILA kwa sababu kuu mbili au tatu. 1. inafanana na uzi uliowahikuwekwa humu kama uzi wa mtikila, 2. Mtikila ndiye mwenye bifu na baba yetu wa taifa hayati Mwl J. Nyerere 3. Inasadikiwa kuwa mke wa Mtikila ni Mhutu from Rwanda or Burundi. japo kuna kaukweli kwaani story ya Kagame kuwaua marais wa Rwanda na Burundi si ya leo. Mtikila kama ana hoja basi awe wazi tumtambue.
 
CASTRO Mao, hizi habari ni nzito sana. Tupe dodoso ya hao jamaa ambao wameajiriwa jeshini na TISS
 
huu uzi unafanana na ule wa Mchungaji Mtikila

Kagame na Museveni walihusishwa na kifo cha Garang
 
Mtanzania mzalendo hawezi ita huu uzi ni porojo isipokuwa Mtutsi ili watu waupotezee
This is serious and TISS has to take it seriously otherwise hawa watu watatufikisha pabaya!
 
Hima empire kuna mahali niliwahi kusoma habari za hawa jamaa tuwe makini tusiale kina Museveni na Kagame ni watu hatari sana hii EAC tuiangalie kwa jicho la tahadhari.
 
Wazanaki kabila la Nyerere ni Watusi? Eti ni kweli? Hata hivyo mimi naona tuondoe maboda tu tuwe pamoja zaidi
 
Tunashukuru kwa taadhali, lakini mbona maandishi haya yamekaa kama ya shemeji yangu Mch.Mtikila - nafikili kesho utajulikana kama Chaves Guevara, Big UP MKUU.
 
Back
Top Bottom