Haswaaaaaaaaaaaa,ujinga ni jambo gumu sana kibaya zaidi mjinga huwa hajitambui haraka tuyaache yapuyange mkuu.Leo hii Lipumba,Mbatia,Zitto pia ni makamanda? Ama kweli kuondoa ujinga ni kazi kubwa.
Dawa ya mpumqbvu ni uminga kama watu wameleta ujinga kwanini pinda asiwaletee upumbavu mda wa kubembelezana umekwisha dawa ni kuwafunga mnyororo kwe tela na kuwaburuza.Hilo swali kamuulize Pinda! Maana naye kasema watazunguka nchi nzima!
Nani kakudanganya subiri maumivu nazihurumia mabavu zako maumivu zitakayopata aibu yako.Kamuulize Samueli ,maana amepeleka mpaka sms anawasaka jamaa ,Sasa subiri CCM watakavyoachwa kwenye Mataa !
Kamuulize Samueli ,maana amepeleka mpaka sms anawasaka jamaa ,Sasa subiri CCM watakavyoachwa kwenye Mataa !
Leo hii Lipumba,Mbatia,Zitto pia ni makamanda? Ama kweli kuondoa ujinga ni kazi kubwa.
Wehu wakikutana sijui tutapata mchanganyiko gani haya acha yapuyange majitu yasiyojielewa yenye uchu wa madaraka watachoka na hayo mandamao yao.
uendepo somalia.nina hasira ile mbaya cjui niende nchi gani nikajifunze ukomandoo
Ikishindikana Bungeni hata mitaani itapatikana tu. Zanzibar ni mahala muhimu sana kwa ajili ya kupatikana Tanganyika yetu.Katiba Mpya inatengenezwa BUNGENI au BARABARANI?
tupo pamoja makamanda mpaka kieleweke,kinachotakiwa maandamano yaanzishwe nch nzima kwa wakati mmoja mfano zanz iwe unguja napemba cku hyo hyo saa hyohyo then tanganyika yawe mikoa km 5 kwa wakati mmoja,,mikoa hyo iwe dar arusha mbeya mwanza mtwara iringa kagera shnnynga na mara. hapo police lazima wachemke
Ikishindikana Bungeni hata mitaani itapatikana tu. Zanzibar ni mahala muhimu sana kwa ajili ya kupatikana Tanganyika yetu.
Katiba Mpya inatengenezwa BUNGENI au BARABARANI?
Wale wakisimama imara kukataa serikali mbili lazima Tanganyika itarudi. Ni rahisi kucapitalize kampeni kwao kwakuwa wanakaa eneo dogo na tayari wao ni nchi.Tanganyika inadaiwa zanzibar! Uhuru wa tanganyika upatikane zanzibar? kwa nn sio dodoma kigoma tabora songea iringa au mara?
Mtikila unakwenda kuidai tanganyika yetu zanzibar?