1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 6,268
- 7,958
Nimesikia kuna tshirt zina bendera na chata ya tanganyika kwanza. Je,ni kweli au zuga?
Wehu wakikutana sijui tutapata mchanganyiko gani haya acha yapuyange majitu yasiyojielewa yenye uchu wa madaraka watachoka na hayo mandamao yao.
Katiba Mpya inatengenezwa BUNGENI au BARABARANI?
Mkuu huko The Hague hawaangalii uhalifu usiokuwa na maslahi na Wazungu! Kama ilikuwa inafuata haki mpaka sasa M7, PK, Bush Sr & Jr, Obama, Blair, Perez, Netanyahu, Mkapa ungekuta wameshatinga mahakamani! Ile imewekwa kama sehemu ya No Fly Zone program kwa Viongozi wasiotaka kuingia mikataba kama walivyofanya serikali ya CCM! ... Wazungu wanaipenda serikali yetu iliyoko madarakani usipime! Hata Jeshi likiamua kuua nusu yetu wao watashangilia kwani watapunguza kugharamikia uzalishaji wa virusi vya UKIMWI na EBOLA kwaajili ya kutupunguza ....Uzuri ni kwamba kuna The Hague.Hakuna mharifu atakayesalimika.Nadhani CCM waanze kujiandaa kuwafuata akina Ruto na Kenyatta.
Katiba Mpya inatengenezwa BUNGENI au BARABARANI?
Katika siasa hakuna uadui wa kudumu ila mkijikuta mko pamoja katika kupigania maslahi ya wananchi huwa ni jambo jema, huwezi kuacha kushirikiana na mwenzako kisa tu huyu ni CUF au NCCR. hata wana CCM wanaojitambua katika masuala fulani fulani mbona tunakuwa nao pamoja kwa mfano sasa hivi tupo pamoja kwenye sirikali3 na mtani wetu Kris Lukosi mwingereza!Hivi imekuwaje CHADEMA wakaungana na "CCM B?" , au U-CCM B wa CUF umeshaisha?Dr.Slaa na Mbowe mliwaaminisha wafuasi wenu kuwa CUF imefunga ndoa na CCM, na NCCR MAGEUZI sio tena bali ni NCCR MANUNUZI kwakuwa MBATIA amepewa hela na CCM ili aue upinzani! Nashangaa Leo mnasema Mmeungana na hizi tuhuma hazisemwi tena!
Watangazieni wananchi kuwa CUF sio CCM B tena.Katika siasa hakuna uadui wa kudumu ila mkijikuta mko pamoja katika kupigania maslahi ya wananchi huwa ni jambo jema, huwezi kuacha kushirikiana na mwenzako kisa tu huyu ni CUF au NCCR. hata wana CCM wanaojitambua katika masuala fulani fulani mbona tunakuwa nao pamoja kwa mfano sasa hivi tupo pamoja kwenye sirikali3 na mtani wetu Kris Lukosi mwingereza!
Katiba Mpya inatengenezwa BUNGENI au BARABARANI?
Tanganyika inadaiwa zanzibar! Uhuru wa tanganyika upatikane zanzibar? kwa nn sio dodoma kigoma tabora songea iringa au mara?
Mtikila unakwenda kuidai tanganyika yetu zanzibar?