Umeongea vizuri sana...ila tatizo maelezo ya msamaria mwema yana ukakasi unaofanya atiliwe shaka...Anaweza asiwe mshukiwa.
India zamani walifanya hivyo. Unampeleka mtu Polisi yanakuwa yako gharama zote mpaka hospitali na ushahidi wa kuisaidia polisi. Basi watu wakawa wanaacha hata majeruhi wa ajali wanapita pembeni tu.
Siku hizi kampeni zimeanza za kuelimisha watu umuhimu wa kuwasaidia majeruhi na watu wanaookotwa kwa shida mbalimbali na kuwapeleka panapostahili.
Dreva wa taxi mmoja maarufu jijini Delhi anafanya hivyo na taarifa zake ziliandikwa sana na vyombo vya habari hivi karibuni.
Tumshukuru huyo bwana. Tusimlaumu kwa kutompeleka maana kwa hakika ingebidi aisaidie polisi. Bado anapaswa kuisaidia. Ila asiogope. Kutoa ushahidi kitu chema.
Anaweza asiwe mshukiwa.
India zamani walifanya hivyo. Unampeleka mtu Polisi yanakuwa yako gharama zote mpaka hospitali na ushahidi wa kuisaidia polisi. Basi watu wakawa wanaacha hata majeruhi wa ajali wanapita pembeni tu.
Siku hizi kampeni zimeanza za kuelimisha watu umuhimu wa kuwasaidia majeruhi na watu wanaookotwa kwa shida mbalimbali na kuwapeleka panapostahili.
Dreva wa taxi mmoja maarufu jijini Delhi anafanya hivyo na taarifa zake ziliandikwa sana na vyombo vya habari hivi karibuni.
Tumshukuru huyo bwana. Tusimlaumu kwa kutompeleka maana kwa hakika ingebidi aisaidie polisi. Bado anapaswa kuisaidia. Ila asiogope. Kutoa ushahidi kitu chema.
Sao hili lile pori linavotisha aisee jamaa ana Mungu alie haiAlishushwa kwenye basi gani? Kaokotwa na kada saa 4 usiku kwenye msitu wa sao hill !!? Alikua hajitambui halafu akakodiwa tax impeleke polisi?!!!!
Ukweli ni kwamba huyu kada anatakiwa kuhojiwa na watu wenye uweledi na walio huru kabisa katika hili. Kuna mambo mengi ya kujiuliza kabla ya kudhani ni muhusika na kabla ya kudhani ahusiki.
.
Kutekanatekana tu.Ni ushamba na utoto uliomithirikaNchi imekua na mambo ya kitoto mengi!
Mkuu sasa naona akili zimeanza kukurudiNchi imekua na mambo ya kitoto mengi!
Hayaa kile kikundi tunachosemaga kimejidhihirisha..Huwa wanatembea na Noah muda mwingine Nissan...Tulishasema tuingie mzigoni tuwafyeke bado mnasitasita!
haahah kada makiniKada?
Juma dogan(Msamaria mwema), Abdul Nondo(Mtekwaji) na Kumbusho downson(Rafiki wa Msamaria mwema na Mtekwaji) ni wamoja, kimsingi wameigiza pamoja katika nafasi tofauti tofauti.
Sasa kama anaishi dar asiende mafinga?? Na akimkuta mtu ana uhitaji asimsaidie?? Mbona hamna jema?? Suspect kwa lipi?? Hebu kuweni mnafikiria kabla ya kukurupukaMhuuuum,kampa nauli ya Tax?Why asimsindikize?What a coincidence!Huyo kada anaishi Dar na yeye yupo Mafinga kwa shughuli za kibiashara.Any way all in all Abdul yupo hai.
Msitu upo katikati ya Mafinga na Nyololo,mtoa nauli alitoka Mafinga kuelekea Nyololo/Makambako?Kada wa CCM anajua mchongo mzima, mfanyabiashara usiku anatokea wapi pembeni ya msitu? Why ampe hela ya tax na sio kumpeleka mwenyewe kituoni?? Alijuaje kama ndio aliepotea mpaka ajipitishe hapo na kumpa hela?? Then imekuaje analireport hilo tukio haraka inbox ya marafiki wa Nondo??