realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,981
Au ni wewe?Kwanini?!!
Au ni wewe?Kwanini?!!
Jibu swali kabla ya kuchomekea!Au ni wewe?
Kama alivo kwambia,kwa post zako tuu,hakuona haja ya kukujibu.Jibu swali kabla ya kuchomekea!
Hahahaa........usiogope!Kama alivo kwambia,kwa post zako tuu,hakuona haja ya kukujibu.
Na asilimia kubwa macccm mnahusika na utekaji,lawama wanapewa geshi la polishi
Biashara ya siasa.Bwana Dogan ambaye ni mkazi wa Dar Es Salaam, anasema alikwenda Mafinga kwa shughuli za kibiashara
Kwani akina makonda hamuwafahamu? Kaongezeka na Juma doganHili kundi la watejaji na wauaji linajulikana kumbe
Itapendeza ikiwa ni mahakamani pale kisutu tujae kusikiliza na kuitazama sinema.Juma Dogan tunamuelewa vibaya, yeye kasema kuna mwanafunzi kashushwa hapa, anasema ni mwanafunzi wa mlimani alitekwa jana, ''tumempa'' nauli aende polisi, tumempa sio nimempa, maana yake walikuwa wengi sehemu ambapo kijana alitokea, huu ni msaada , ukiwa kwenye shida unaweza saidiwa na mtu yeyote bila kujali itikadi, mimi nadhani kwanza tungetoa hongera kwa Juma Dogan na wenzie waliotoa huo mchango kwa kijana sio kuwatuhumu. Hii ni habari nzuri kwa polisi kukusanya ushahidi, maana Juma yupo, Basi lipo, yule aliyesafiri nae yupo, kijana yu hai, hivyo huyo kijana ataulizwa kama juma amehusika au hakuhusika.
Hajaitwa kokotr kule ndio tujue ccm ni shetani1. Juma dogan suspects wa kwanza huyoo.
Je hawa watu wasio julikana baada ya awamu hii ya 5 na 6 wataendelea kuwepo?Anaweza asiwe mshukiwa.
India zamani walifanya hivyo. Unampeleka mtu Polisi yanakuwa yako gharama zote mpaka hospitali na ushahidi wa kuisaidia polisi. Basi watu wakawa wanaacha hata majeruhi wa ajali wanapita pembeni tu.
Siku hizi kampeni zimeanza za kuelimisha watu umuhimu wa kuwasaidia majeruhi na watu wanaookotwa kwa shida mbalimbali na kuwapeleka panapostahili.
Dreva wa taxi mmoja maarufu jijini Delhi anafanya hivyo na taarifa zake ziliandikwa sana na vyombo vya habari hivi karibuni.
Tumshukuru huyo bwana. Tusimlaumu kwa kutompeleka maana kwa hakika ingebidi aisaidie polisi. Bado anapaswa kuisaidia. Ila asiogope. Kutoa ushahidi kitu chema.
Dikteta uchwara in lissu voiceHuyo kigaila au!
Kifo cha Akwilina na maazimisho yab26/4Hivi ni habari gani ilikuwa ina trend mitandaoni kabla ya tukio la huyu dogo !?
Hapana tunapenda kusimama katika mawazo yetuNyie ndo walewale
Kwa hiyo dogo aliandaliwa kukoleza 'moto', siyo !?Kifo cha Akwilina na maazimisho yab26/4
HahahahahaMhuuuum,kampa nauli ya Tax?Why asimsindikize?What a coincidence!Huyo kada anaishi Dar na yeye yupo Mafinga kwa shughuli za kibiashara.Any way all in all Abdul yupo hai.