Julius Mtatiro ndiye 'Sunday Charles'?

Kama vyeti ni vyake na he earned them, then sioni shida, ndo bongo ilivyo, watu wengi tu kwa situations za tofauti wana majina ya tofauti, la msingi ni kama hajagushi vyeti, basi sioni shida.
 
Ina maana jamaa kurudia mtihani wa darasa la saba na akapiga paper tayari ishakuwa nongwa...wakati humu jamvini mpo kibao tu mlio-reseat paper za form IV na bado mkavurunda kwa mara nyingine na nyingine na kisha mkakimbilia kwenye vile vyuo vyetu vinavyotoa elimu za kuunga unga hadi mkapata "equivalent" na bachela....hata hivyo, watu wamewakaushia! Kwangu mimi, mtu ambae alitumia jina lingine halafu akafanya paper na kufaulu kwa akili yake ni bora yule anayetumia jina lake akawa amefika amefika alipofika kimagumashi!! By the way, hapo zamani hata hizo private schools zenyewe zilikuwa za kutafuta na si ajabu watanzania wengi walikuwa wanatumia staili hiyo.
 
Bwana J ulius Mtatiro anakabiliwa na tuhuma ya kutumia jina bandia ambapo kambi ya Bw.Hamad rashid imedai kukamata mawasiliano kati ya Bw.Mtatiro na mwenye jina hilo.Taarifa kutoka kambi ya Bwana Hamad inaeleza kuwa ,kulikuwepo na mawasiliano kati ya Bw.Mtatiro na mwenye jina hilo ambapo inaelezwa kuwa ,jina halisi la Bw.Mtatiro ni Bw.Sunday Charles.
Source: Majira, 26/02/2012 pp 4 “CUF kufa 2013”
My take: Inaonekana ukifanyika utafiti yakinifu mengi yanaweza kugundulika,tatizo hili linaonekana ni kubwa sana hapa nchini kwetu,kwa wale ambao wanatafuta research titles,this is highly recommended!
 
Bwana J ulius Mtatiro anakabiliwa na tuhuma ya kutumia jina bandia ambapo kambi ya Bw.Hamad rashid imedai kukamata mawasiliano kati ya Bw.Mtatiro na mwenye jina hilo.Taarifa kutoka kambi ya Bwana Hamad inaeleza kuwa ,kulikuwepo na mawasiliano kati ya Bw.Mtatiro na mwenye jina hilo ambapo inaelezwa kuwa ,jina halisi la Bw.Mtatiro ni Bw.Sunday Charles.
Source: Majira, 26/02/2012 pp 4 "CUF kufa 2013"
My take: Inaonekana ukifanyika utafiti yakinifu mengi yanaweza kugundulika,tatizo hili linaonekana ni kubwa sana hapa nchini kwetu,kwa wale ambao wanatafuta research titles,this is highly recommended!




Kashfa ya majina bandia hapa nchini ni mengi sana lakini nawachangaa wenye majina haoy huja/hutokea wakati mtu akishakuwa maarufu,mlikuwa wapi kabla mtu hatajapa title?.Acheni hizo bwana.
Unaweza kutumia jina la cheti cha mtu kisha ukabatizwa kwa jina hilo au ukaslim kwa jina hilo.Cha msingi ni kujua Bwana mwenye jina anadai jina au cheti?.Cha msingi ni kujua mlalamikaji anadai nini.
 
Guys! give the man a break! You have chosen your party and he has chosen his! Isiwe nongwa yeye kutokuwa CDM. Kama mnamuona jembe si bora mumuendee kistaarabu?
 
Kashfa ya majina bandia hapa nchini ni mengi sana lakini nawachangaa wenye majina haoy huja/hutokea wakati mtu akishakuwa maarufu,mlikuwa wapi kabla mtu hatajapa title?.Acheni hizo bwana.
Unaweza kutumia jina la cheti cha mtu kisha ukabatizwa kwa jina hilo au ukaslim kwa jina hilo.Cha msingi ni kujua Bwana mwenye jina anadai jina au cheti?.Cha msingi ni kujua mlalamikaji anadai nini.
Ni sawa mkuu!lakini waswahili wanasema mtu wenye matunda mengi ndiyo utupiwao mawe!!!
 
Guys! give the man a break! You have chosen your party and he has chosen his! Isiwe nongwa yeye kutokuwa CDM. Kama mnamuona jembe si bora mumuendee kistaarabu?
Mkuu mbona unakwenda nje ya mada?nani ameongelea mambo vya vyama?mimi kama mtoa hoja sijaonjelea chama bali nimejikita zaidi kwenye matumizi ya jina!
 
Hili tatizo ni kubwa sana hapa nchini, busara itumike km mtu ametumia jina hilo kuanzia shule ya msingi na akalitafutia elimu hadi vyuo vya juu, hapa sioni kosa tofauti na yule anayenunua cheti. Kwa wale waliosoma bara vijijini enzi hizo walikuwa wakitumia majina ya wanafunzi wengine pale walipokuwa wakirudia mitihani yao.
 
Mtatiro si mtanzania wa kwanza kurudia shule baada ya kukosa nafasi ya kuchaguliwa kwenda secondary, watanzani wengi sana waliosoma miaka ya sabini themanini na tisini hata sasa wanatumia majina ambayo si yao, wakati ule kwenda secondary haikuwa shuhuli rahisi unakuta kata nzima wamechaguliwa watano au sita so watu wanatafuta majina ya walioacha shule au watoro wa kudumu wanayatumia kujaribu tena bahati yao, kama hii scenario ndo inamhukumu Mtatiro mimi nitakuwa upande wake kabisaaa
 
Guys! give the man a break! You have chosen your party and he has chosen his! Isiwe nongwa yeye kutokuwa CDM. Kama mnamuona jembe si bora mumuendee kistaarabu?


Nakubalian na wewe ila source ya hii kitu ni Hamad camp kama umesoma chanzo cha hii kitu siyo CDM
 
Na bado, huyu bwana mdogo anaejiita Julius Mtatiro alifikiri siasa ni kujikomba kwa mabosi wake sasa nadhani ndio mwanzo wa mwishi wake kisiasa.
 
Ni hatari kudanganya jina/umri kwa sababu kama kwenye mambo madogo sio muaminifu je wananchi watakuamini vipi kwenye mambo makubwa? Hili ni kosa tosha la kujiuzulu nyadhifa.
 
Guys! give the man a break! You have chosen your party and he has chosen his! Isiwe nongwa yeye kutokuwa CDM. Kama mnamuona jembe si bora mumuendee kistaarabu?

pumba. Umaarufu wake ndo unafanya tumjadili. Mwanaasha alijadiliwa humu sababu ya baba yake.
 
Back
Top Bottom