Juliana Shonza amlipua Mbowe

Duuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!! ama kweli mtu ukishaingia chama cha magamba yakufaa kuropoka bila kutumia akili, shame on them, huyu binti anajiita msomi, je usomi umemsadia nn? small minds talk about small things na ndo maana aliongelea radio uhuru another pathetic radio, la msingi wajadili na chama chao jinsi ya kuiboresha elimu yetu maana wameiua, elimu ya mjinga ni majungu
 
Juliana Shonza we binti uwe unamwogopa mungu hivi Haya mambo unayo yasema sasa ulikuwa huyajui au umefundishwa na hao mambwa useme hivi manake tunaona mbona kuna vijana kibao wametoka Ccm wapo chadema na hawatukani viongozi wao hata Kama wamepewa udakitari na mavyeti ya kufoji kibao! Iweje wewe kutimuliwa chadema Ndio unaona ubaya wa chadema lakini kumbuka usemi usemao mfamaji haachi kutapatapa na za mwizi ni arobaini na hakuna marefu yasio na ncha kwa ushauri wewe Umeenda Ccm fanya siasa zako huko kwani ndiko ulikoona panakufaa na waachie vijana na makamanda wapambane na ukombozi sa nchi hii kwani tulipo sasa ni hatari nchi haieleweki mala gesi mara vurugu za dini Mara watu wamechijwa mara form 4 wameferi sasa wewe ukiwa unapanda jukwaani hebu jaribu kuwaambia viongozi wako wanaongoza hii nchi matatizo ya raia wanao kuzunguka huku tukuyu watu wanalalia mapalachichi msosi hamna maisha yapo juu na kipato kidogo hayo huyaoni wewe ni kumchimba mtu na maisha yake Mara furani dj basi wewe ulikuwa unambebea music mnaenda kupiga ruba, hapo dada yangu Shonza umechelewa kujipendekeza kwani Mimi nilio soma nao nashukuru mungu hakuna wa kujipendekeza sio Ccm wala chadema tuna fata haki ili watoto wetu wasikilizen kutulaani kwani sijui Kama hayo madini na gesi wataikuta achilia mbali wanyama na utajiri ambao mwalimu baba wa taifa aliviacha tukavikuta na kujivunia hebu nyie akina Shonza na wengine jiulizeni mnaufaikaje kwa kutumiwa na hao wanamagamba manake wao wamekuka hadi billion I wanaita vicent wewe lama msomi unajua maana ya Vijisenti halafu mtu na akili hela ambazo watoto wetu wangenunuliwa kapo madawati na vitabu viwasaidie wao wanaita Vijisenti hebu muwe mnahoji vitu vya maana badala ya kukaa na kuwatukana wazee wa watu ambao wamejitolea kuwa mstari wa mbele kuwatetea wananchi hivi bila hao unaoita ma dj ungekuwa na ujasiri kusimama kabisa jukwaani na kuwatusi hapo Mimi na jamaa ambao tumezunguka hapa tunashindwa kabisa kuwa haji wewe Shonza na mwampamba hivi nyie kweli ni watu kutoka mbeya manake tunawafatilia kwa makini sana na tukuwa na ujasiri wa kusema wewe ni wa pwani manake watu wa huko Ndio wenye tabia hizo!!! Hebu mjifikilie harafu mjitambue kisha chukuweni hatua sawa!!!!!!!
 
Ukisema hata Kawawa alikuwa na elimu kama hiyo, lazima umalizie na kutuambia "na akafanya hiki na kile na hiki kwa mafanikio."

Vinginevyo utaambiwa ahaaaa, kumbe, basi ndio maana alikuwa akimaliza chai ugenini Uingereza hafuniki kikombe anaongezewa mpaka anataka kutapika hadi Nyerere amwambie "Kawawa funika kikombe"!

Meaning, he was an object of ridicule in this society. Uongo?

Nami naomba unitajie mafanikio yaliyoletwa na wasomi! Wakati tunapigana na Uganda, yeye alikuwa ni waziri wa ulinzi na matokeo yake tulipigwa na kushindwa vita hiyo!
 
Andry Nirina Rajoelina born 30 May 1974, is the President of the High Transitional Authority of Madagascar. He became president on 21 March 2009 during a political crisis, having held the office of Mayor of Antananarivo for one year prior. Before entering the political arena, Rajoelina launched several successful enterprises, most notably including a printing and advertising company called Injet in 1999 and the Viva radio and television networks in 2007. He began his career as an entrepreneur in his teenage years, first as a DJ at local clubs and parties, and later by organizing and promoting musical events in the capital.
Mkuu umekapa za uso!

Hivi kana degree ya Pichu nini?
 
Mkiitwa kuhojiwa kwenye vyombo vya habari muwe na vitu vya kuongelea vyenye maslahi kwa taifa huu sio wakati wa kuongelea elimu ya kiongozi ajaye bali ni wakati wa kuangalia matatizo ya taifa letu na jinsi ya kuyatatua.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Elimu ni uwezo sio cheti, twafahamu kuwa moto wa Chadema unawafanya mnaweweseka na kuwashwa kila mahali, wanaoongoza nchi ni watu si Bachelor Degree, Masters or PHDs
 
kwani kwenye uongoz wa magamba kuna maprof wagapi? Ni kitu gani wamelifanyia taifa hl zaid ya kuota vitambi tu, nakuuza tembo wetu, any way kakavuje ungo kwanza bado hakaja pevuka, peopleee kesho tuandamane kwa wing mpaka kieleweke term hii
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

shonza napenda nikwambie maneo machache mimi kama mtanzania, kumbuka historia yetu kipindi cha mwl hakuwa na wasomi wenye madegree lakini nchi ilienda vzr sana,leo kuna maprof,dk nk ambao wako serikalini lakini pima per capital income ya 2015 na 1970,inflation nk. Shonza pima commitment ya viongozi wako madk na maprof na wale wa 1960's wa darasa la nane.
Wewe shonza umepoteza mwelekeo kabisaa,kama unadhani uko salama uko ccm subiri utakuja kujuta dada yangu ccm ni unyamani soon you will come to realise.
 
shonza napenda nikwambie maneo machache mimi kama mtanzania, kumbuka historia yetu kipindi cha mwl hakuwa na wasomi wenye madegree lakini nchi ilienda vzr sana,leo kuna maprof,dk nk ambao wako serikalini lakini pima per capital income ya 2015 na 1970,inflation nk. Shonza pima commitment ya viongozi wako madk na maprof na wale wa 1960's wa darasa la nane.
Wewe shonza umepoteza mwelekeo kabisaa,kama unadhani uko salama uko ccm subiri utakuja kujuta dada yangu ccm ni unyamani soon you will come to realise.

Mbowe alimaliza form six akaenda JKT.
 
[baraza la mawaziri limejaa mawaziri wenye PHD. mbona hasemi aibu tunayo ipata sasa.

kiwango cha juu kielimu sio kipimo cha uongozi...

QUOTE=security guard;5730295]Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ![/QUOTE]
 
Heehh huyu kalogwa. Sio wote waliokombolewa na elimu.Juliana wewe elimu yako ni ipi maana nawe unaongea na kuchanganua mambo kama huna elimu pia. Mbowe hata kama hana elimu unayoitaka wewe ana uelewa mkubwa sijui wewe ambaye unahamahama vyama kwa kukosa msimamo. Histora itakuhukumu siku moja.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

mbona hasemi kuwa rais wa afrika kusini jacob zuma hakuwahi kwenda hata darasa la kwanza na ni rais...kilaza
 
Ishara ya mtu kufia ndani ya maji ni kumkuta amefariki akiwa kashikiria mabaki ya majani au miti ambayo ni ishara ya kutapatapa haya ndio yanayomkuta binti shonza masikini domokaya huyu.
 
Back
Top Bottom