bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Taarifa zangu za kiintelijensia zimenipasha kuwa leo viongozi wa Jukwaa la Katiba watakuwa na kipindi Live Mlimani TV kuanzia saa mbili unusu usiku. Naamnini wanaweza kujibu hoja nyingi zilizotolewa na wabunge kuhusu uhalali wa jukwaa kuwawakilisha wananchi na pia mchakato mzima. Atakayekuwa na access ya kuangalia tafadhali atupe updates kipindi kitakapoanza.