Majuma kama ma3 yaliyopita alisema kwenye kipindi chake hakitakuwepo mpaka kitapotangazwa tena_Naona kachukua likizo ya uzazi si unajua anaKIBENDI?Kulikono joyce mbona kaingia chaka bila hata taarifa katika kipindi cha bongomovie bila hata taarifa kipindi hakirushwi kulikoni????