Kimbito nyama
Senior Member
- Apr 10, 2012
- 157
- 38
Magamba si yalisema wasipochaguliwa hawatapeleka maendeleo!
Wana JF.
Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wananchi wa Arumeru Mashariki wakimachagua kuwa mbunge wao atashusha bei ya sukari, ni vizuri angeanza na hili la Sukari na wabunge wengine waige mfano kwake.
Tuache ushabiki wa kizandiki hapa, suala la kushusha bei ya sukari, na mengine yanayofanana na hayo ni matokeo ya kufanya restrycturing ya mfumo mzima wa serikali. Kwa mfano, kule Karatu imewezekana baadhi ya mambo kupunguza mzigo kwa wananchi kwa sababu halmashauri inaongozwa na Chadema, kwa hiyo wanaweza kufanya maamuzi ya kumsaidia mwananchi kwa yale yaliyo ndani ya uwezo wao. Kuhusu Arumeru, haiwezekani leo hii Nassari akajiamulia tuu over night kufanya kitu kama hicho, kinahitaji muda na tuombe next election apate madiwani wengi sana ili waongoze halmashauri.
Acheni mawazo mgando.
Mkinichagua Nitajenga Flyover ubungo, Mwenge,Tazara na Chang'ombe kuondoa foleni.. JE AMEJENGA?Mkinichagua Ntajenga machinga Komplex zingine Tano... JE AMEJENGA?Mkinichagua nitaleta maisha bora kwa kila Mtanzania.... JE AMELETA?Toa kwa Boriti kwenye jicho lako ndipo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.Waweza kuongezea zingine ....
Mkinichagua Nitajenga Flyover ubungo, Mwenge,Tazara na Chang'ombe kuondoa foleni.. JE AMEJENGA?Mkinichagua Ntajenga machinga Komplex zingine Tano... JE AMEJENGA?Mkinichagua nitaleta maisha bora kwa kila Mtanzania.... JE AMELETA?Toa kwa Boriti kwenye jicho lako ndipo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.Waweza kuongezea zingine ....
Wana JF.
Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wananchi wa Arumeru Mashariki wakimachagua kuwa mbunge wao atashusha bei ya sukari, ni vizuri angeanza na hili la Sukari na wabunge wengine waige mfano kwake.
Kwangu mimi sukari ni anasa, cha kwanza ni maji, Joshua ameshaanza na maji, hongera Dogo Janja! achana na hawa vibwengo wa chama cha makalio.Wana JF.
Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wananchi wa Arumeru Mashariki wakimachagua kuwa mbunge wao atashusha bei ya sukari, ni vizuri angeanza na hili la Sukari na wabunge wengine waige mfano kwake.
Hola! wanachoweza CCM ni kugawa kanga na kofia wakati wa uchaguzi, baada ya hapo ni ufisadi kwenda mbele!THUBUTU, wenye uwezo wa kutekeleza hiyo AHADI ni CCM tu!
Itamtokea puani labda CCM wamsaidie!
Mmeanza kuleta POROJO hapa. Je YULE ALIYEAHIDI MAISHA BORA KWA WATANZANIA AMETIMIZA AHADI YAKE? Na ni nani aliyesababisha Sukari kupanda bei?
Wana JF.
Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wananchi wa Arumeru Mashariki wakimachagua kuwa mbunge wao atashusha bei ya sukari, ni vizuri angeanza na hili la Sukari na wabunge wengine waige mfano kwake.
Ahadi ni deni Nassari mwenyewe ndio alitoa hiyo ahadi kuwa atashusha bei ya sukari hakuna ubaya watu kuulizia amefikia wapi kwenye ahadi yake, kuna watu wangine walimpa kura kwa mategemeo makubwa sukari itashakuka bei.