MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Kwa sasa nimeshikwa na kigugumuzi kisicho cha kawaida katika kuchangia yanayojilia katika uchaguzi huu mdogo. Hali kama ni hiyo kwa uchaguzi huu mdogo, Uchaguzi Mkuu ujao hali itakuwaje?
Tunatakiwa tujizatiti kwa confrontation za kinadharia na vitendo. Yaani kuiondoa CCM inakuwa hatari kuliko kumwondoa mkoloni. Hata iweje hakuna kurudi nyumba daima ni mbele