kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Kinachokusumbua ni masomo uliyoamua kusoma yaani bongo flava(ART) ndiyo maana hujui hathari za kutoka damu puani.Huyu nae legelege sana, kutoka damu puani ndio mpaka aende hospitali.
Kinachokusumbua ni masomo uliyoamua kusoma yaani bongo flava(ART) ndiyo maana hujui hathari za kutoka damu puani.Huyu nae legelege sana, kutoka damu puani ndio mpaka aende hospitali.
utakuta kamepigwa kofi moja tu na kakitimua mbio hospitali, siasa inataka uwe mwanaume.
Ametoa taarifa sasaivi kwenye ukurasa wake wa face book kuwa damu nyingi zinamtoka imebidi arudi Arumeru.
Hii ndio TANZANIA
Hao ni wanaume kuliko dogo softy.Hivi wakina Halima mdee, Sophia Simba, Anna Tibaijuka ni wanaume au wao hawako kwenye siasa?
taarifa za kimbeya na majungu hizi, hivi nyie wanachadema mnafanya hizi za propaganda uchwara kwa faida ya nani?? unaweza kutupa source na pictorial evidence ya huu uzushi wako?
Acha U.S.E.N.G.E wewe watu wanaumia alafu unasema wanataka huruma??????????unakili timamu kweli wewe?mimi nitamshangaa sana kama kuna mtu anaamini kwamba mtu anaweza jiumiza kwa kutafuta huruma,then what?for who's benefit?acheni kukurupukaga nyie serukambo youChadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.
yani chadema tayari mnajua hamna chenu mana toka jana sbb kibao tuhuma kila dakika .yn mnatafuta sbb za kushindwa.
chadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.
Chadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.
Chadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.
utakuta kamepigwa kofi moja tu na kakitimua mbio hospitali, siasa inataka uwe mwanaume.
MwigulusmHuyu nae legelege sana, kutoka damu puani ndio mpaka aende hospitali.