Hadji Sihaba
Member
- Oct 17, 2012
- 8
- 1
Wale hawana jazba kama zako, ni watu wanajua nini wanafanya, ni viongozi wa kiroho, si tegemei kama watasema walipize kisasi, kwani :SAMAKI AKIOZA MMOJA, WOTE HUOZA!!
Walewale wenye leseni ya kusema wenyewe tu. Vitisho na mikwala ni mambo yenu waislam, wengine sisi wala hatuyajui...kwetu sisi ni subira na busara tu!By Mdondoaji
Tunawatakia kila la kheri na matamko yao ila wafahamu hii nchi ni ya Waislamu na Wakristo. Busara na hekima itumike na sio vitisho na mikwala. Kwani vijana wa kiislamu na waislamu wengi wamewachoka sio siri. Ni vema wakatafakari vizuri kitu wanachokizungumza isije kuishia tukashindwa kuishi kwa amani nchini mwetu hali ni mbaya.
hongera sana mkuu,roho ya ubinadamu inarudi taratibu NaSerikali inabidi ichukue hatua kali zaidi ili haya yasitokee tena.
mkuu chonde bana usitutenge kuna pia wapagani ,banyiani etctunawatakia kila la kheri na matamko yao ila wafahamu hii nchi ni ya waislamu na wakristo. Busara na hekima itumike na sio vitisho na mikwala. Kwani vijana wa kiislamu na waislamu wengi wamewachoka sio siri. Ni vema wakatafakari vizuri kitu wanachokizungumza isije kuishia tukashindwa kuishi kwa amani nchini mwetu hali ni mbaya.
Mmmmmmmh kama kweli vile, hisije ikawa mchezo wa kuyumbisha upepo wa M4C
Tunawatakia kila la kheri na matamko yao ila wafahamu hii nchi ni ya Waislamu na Wakristo. Busara na hekima itumike na sio vitisho na mikwala. Kwani vijana wa kiislamu na waislamu wengi wamewachoka sio siri. Ni vema wakatafakari vizuri kitu wanachokizungumza isije kuishia tukashindwa kuishi kwa amani nchini mwetu hali ni mbaya.
pasi na shaka watatangaza CRUSADE.
Maaskofu wana akili timamu wewe, kauli za dizaini hiyo zinatoka kwa wanaume wavaa vipedo wakiongzwa na yule mrundi Issa Ponda.[/QUOTE
Epukeni kauli Kama hizi Imani usivunje undugu sisi sote ni ndugu kauli zenu zitawahukumu Siku moja. Mungu ibariki tz
By Free World 'Tunataka kusimika msalaba IKULU! Waislamu wote wakamatwe wafungwe' hii ni sehemu ya tamko lao!
nasikia waliovamia makanisa walikula hadi sacramenti ya Bwana...mh njaa kali sana.
Lolote wanalo la kukutana.uzuri wa hawa watu huwa hawakurupuki.na hawasubiri siku ya ibada ndo watoe tamko.
Hawana lolote hao kesi ipo ma:kamani
Wakristu siku zote si watoa hukumu kwani hawashughuliki na mwili ambao utabaki duniani ila wanashughulika na roho ambayo itapata hukumu siku ya kiama
Watumishi wa Bwana huwa hawatoi matamko ya kuvuruga amani hata siku moja.Liwe tamko la amani tu, kwa sababu kwanza tayari suala lenyewe linashughulikiwa na Serikali.