John Francisco azidi kupora pesa za wana U-DOM

josias

Member
Jan 7, 2014
47
34
TAMKO LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA KITIVO CHA ELIMU UDOM.

Kutokana na kubainika kwa ubadhilifu wa kutisha katika akaunti ya UDOSO kama itakavyo kuja kubainishwa hapo baadae katika ripoti rasmi ya balaza LA mawaziri, Wizara ya katiba na sheria inapenda kuweka wazi msimamo wake kuwa maazimio ya kikao cha balaza la mawaziri kilicho kaa hapo Jana tar 16/06/2015 yatalazimika kutekelezwa Mara moja huku mtuhumiwa John Fransisco Nzilanyingi ambaye inaonekana wazi kuwa amefanya ufisadi wa kutisha lazima Akamatwe Mara moja na vyombo vya sheria huku hatua nyingine za kinidhamu kwa kufuata katiba ya UDOSO na Student by Law zikitumika kumsimamisha kuingia kwenye shughuri zote za kimasomo katika chuo kikuu cha Dodoma.

Hii ni kutokana na Students by Laws( PART II XXIV ) Mismanagement and/or embezzlement of students organization funds and/or of any other recognized students society established under the auspices of the students organization in accordance with the relevant provisions of the students organization constitution for the time in force ambayo penalty (PART V) 8.0 May suspend a student found guilt of that offence, (PART 5) 8.0 iv a) may rusticate a student for a maximum of nine months or one academic year.

Hivyo basi wizara ya katiba na sheria inatoa rai kwa wanachuo wote kutaka uongozi wa sheria uchukue mkondo wake bila kumuonea MTU wala kumpendelea MTU.

Hivyo wizara ya katiba na SHERIA itapambana kuhakikisha John Francisco Nzilanyingi haingii kufanya mitihani yake ya mwisho na kuagiza utawala kutoa barua ya kumsimamisha masomo Mara moja kabla ya siku ya Ijumaa ili vyombo vya SHERIA vichukue mkondo wake.

Ahsanteni.

Imetolewa na

Charles Josias
Naibu Waziri wa katiba na SHERIA
.




 

Attachments

  • IMG-20150617-WA0007.jpg
    IMG-20150617-WA0007.jpg
    12.2 KB · Views: 1,169
Majanga. Huyo ni wa chuo kikuu. Tunajua kuna ukosefu wa waalimu shule za Sekondari katika masomo ya sayansi. Sasa hata kiswahili ni shida!
Big Results Now!
 
...............................hivi vyuo vyenu vikuu vya siku hizi,,,,,,,,,,,,,,,,du kichefu chefu,eti mwanafunzi wa chuo kikuu anaandika bila wasi wasi "balaza,shughuri".............bora sie wa darasa la saba.
unakaugonjwa kaubongo kanaitwa blamegame brain desease.Ni uvivu wa kufikir na kuelewa tu ndo mana una stress kwenye spelling badala ya content.
 
Kama umetoa habari ili watanzania wengine wajue yakupasa kuainisha aina ya ufisadi alioufanya ili sisi wengine tusio wana UDOM tupate picha ya kinachoendelea. Sio kusema ufisadi wa kutisha wakati wengine hawaelewi hata ni nini kinaendelea.
Ni hayo tuu mkuu
 
habari ni ya upande mmoja ina hadithi tu bila facts. ni siasa za majitaka.
 
Kwa style hii ya uandishi na muibiwe tu. Hii nchi sijui inakwenda wapi na hawa wanaojiita wasomi. Masikitiko makubwa kabisa.
 
Huyo Nzilanyingi ni mfuasi wa CCM au CDM maana vyuo siku hizi ndivyo vilivyo hasa kwa viongozi wa serikali za wanafunzi - (students' organizations). "Fisadi in the making"
 
TAMKO LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA KITIVO CHA ELIMU UDOM.

Kutokana na kubainika kwa
ubadhilifu wa kutisha katika akaunti ya UDOSO kama itakavyo kuja kubainishwa hapo baadae katika ripoti rasmi ya balaza LA mawaziri, Wizara ya katiba na sheria inapenda kuweka wazi msimamo wake kuwa maazimio ya kikao cha balaza la mawaziri kilicho kaa hapo Jana tar 16/06/2015 yatalazimika kutekelezwa Mara moja huku mtuhumiwa John Fransisco Nzilanyingi ambaye inaonekana wazi kuwa amefanya ufisadi wa kutisha lazima Akamatwe Mara moja na vyombo vya sheria huku hatua nyingine za kinidhamu kwa kufuata katiba ya UDOSO na Student by Law zikitumika kumsimamisha kuingia kwenye shughuri zote za kimasomo katika chuo kikuu cha Dodoma.

Hii ni kutokana na Students by Laws( PART II XXIV ) Mismanagement and/or embezzlement of students organization funds and/or of any other recognized students society established under the auspices of the students organization in accordance with the relevant provisions of the students organization constitution for the time in force ambayo penalty (PART V) 8.0 May suspend a student found guilt of that offence, (PART 5) 8.0 iv a) may rusticate a student for a maximum of nine months or one academic year.

Hivyo basi wizara ya katiba na sheria inatoa rai kwa wanachuo wote kutaka uongozi wa sheria uchukue mkondo wake bila kumuonea MTU wala kumpendelea MTU.

Hivyo wizara ya katiba na SHERIA itapambana kuhakikisha John Francisco Nzilanyingi haingii kufanya mitihani yake ya mwisho na kuagiza utawala kutoa barua ya kumsimamisha masomo Mara moja kabla ya siku ya Ijumaa ili vyombo vya SHERIA vichukue mkondo wake.

Ahsanteni.

Imetolewa na

Charles Josias
Naibu Waziri wa katiba na SHERIA
.





= ubadhirifu
= baraza
= shughuli

Huyo ndiyo waziri wa chuo kikuu.

Hivi hizo shule huwa mnakwenda kusomea ujinga?
 
Huyo Nzilanyingi ni mfuasi wa CCM au CDM maana vyuo siku hizi ndivyo vilivyo hasa kwa viongozi wa serikali za wanafunzi - (students' organizations). "Fisadi in the making"

John ni CDM, na anajielewa sana yule kijana,

mwandishi wa makala hii ana maslahi binafsi.

nimemfaham John mwaka jana nikiwa nasoma shahada ya pili pale COED-UDOM Alikuja kuomba kura block S, alijieleza vizuri sana ndo maana alishinda.
 
Waandishi wa habari wafka UDOM jpl 21/6 jion kupata abc za Ufujaji wa fedha uliofnywa na serkal iliyomalza muda wake!
 
Iskanda unaongea kit ambacho hukijui JOHN ANA KAD YA CCM,Ukwel ulioungea ni kuwa ni kwel alijieleza vzr kweny kampen!
 
John wat weng walimwan lakin mwishon kabadilika na kujishushia heshima mwenyewe,ktk hilo hakuna chuk binafsi kwake!
 
Back
Top Bottom