John Cheyo: Mazungumzo ya maridhiano kuendeshwa kwa gredi yaani ya 'ukubwa' wa vyama viwili tu siyo sahihi

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,323
24,230
17 February 2023

Mzee John Cheyo - Hili la vyama vinavyojiita Chama Tawala na Chama Kikubwa kuteka agenda za nchi halikubaliki



Mwenyekiti wa chama cha UDP Mh. John Cheyo alalamika siasa kuwekwa "gredi" vyama gani vinaweza kujadili katiba ya nchi, maana kwa sasa suala hili linajadiliwa na vyama viwili tu kimoja kinajiita ni tawala na kingine ni chama 'kikubwa' huku vyama vingine vinavyoitwa vya mfukoni vikiachwa nje ya mjadala huu mkubwa.

Mzee Cheyo anasema umri wake umamueleza kuwa leo chama kinaweza kuwa kikubwa na tawala lakini kesho kikawa kidogo hivyo ikitokea mazungumzo muhimu je chama hicho huko miaka ijayo kitabaguliwa ?

Anaongeza kuwa ustaarabu wa kisiasa uwe katika nyanja zote na siyo lugha tu. Hili la ukubwa na huyu mtawala haikubaliki hivyo baraza la vyama la siasa lipewe hatamu na jukumu la kuongoza mazungumzo yatayojumuisha vyama vyote badala ya vyama viwili kujifungia chumbani bila wananchi kushirikishwa na ushirikishwaji ndiyo people's power ya wale rafiki zetu.

Mkongwe huyo wa siasa anasema maisha ni magumu ni katika mifuko yao wananchi inayosababishwa na bei ya mafuta kupanda. Hivyo hii ya serikali kuamua kuagiza mchele kutoka nje haitasaidia kupunguza bei ya mchele dukani.

Jibu la kukabiliana na mfumuko wa bei ni kutumia neno moja tu ruksa la rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi na hivyo bulk procurement ya wachache kuagiza (kununua) mafuta ndiyo mzizi wa mfumuko wa bei /root cause ya mfumuko wa bei unaonufaisha wanunuzi wachache wa mafuta kupitia bulk procurement.

Ruksa ya Mzee rais Ali Hassan Mwinyi kuacha milango wazi kwa kila kitu ndiyo jibu endelevu / sustainable la kukabiliana na mfumuko wa bei hivyo EWURA na TBS wabaki kuwa wasimamizi wa ubora wa bidhaa na baada ya hapo bei ya mafuta itakuwa chini ya Tshs 2,000 kwa lita na hili litapelekea mfumuko wa bei wa kila kitu nchini kwenda chini na maisha kuwa nafuu.

Wafanyabiashara wa vitu na bidhaa zote hata mafuta lazima wawe wengi na ndiyo unafuu kwa maisha ya wananchi utapatikana, hii zimamoto ya kusimamia bei ya mafuta au kuagiza mchele toka nje kukabiliana na ughali wa maisha siyo suluhisho la kudumu.

John Cheyo mfanyabiashara wa siku nyingi anasema watanzania zaidi ya nusu hawaishi mashambani, bali wanaishi mijini na shamba lao ni mifukoni hivyo mchele toka Katavi, Shinyanga na Mbeya kuwa juu kwa walaji wa mijini unasababishwa na bei ya juu ya nishati ya mafuta ya dizeli na siyo vinginevyo pia wala ruzuku haitasaidia jibu ni neno ruksa kuruhusu biashara huria ya wafanyabiashara wengi wa biashara za ndani na nje.

Mzee John Cheyo anafurahishwa na waziri wa kilimo Hussein Bashe kutoyumbishwa na mbinyo wa kelele za kutoa bei elekezi kwa mazao ya wakulima au kufunga mipaka wakulima kuuza soko la nje. Mazao ni Mali ya wakulima anasisitiza Mzee John Cheyo na hiyo ndiyo sera ya UDP ya kuwajaza mapesa watanzania ikiwemo wakulima.
 
17 February 2023



John Cheyo alalamika kuwekwa "gredi" vyama gani vinaweza kujadili katiba ya nchi, maana kwa sasa suala hili linajadiliwa na vyama viwili tu kimoja ni tawala na kingine ni chama 'kikubwa' huku vyama vingine vinavyoitwa vya mfukoni vikiachwa nje ya mjadala huu mkubwa.

Mzee Cheyo anasema umri wake umamueleza kuwa leo chama kinaweza kuwa kikubwa na tawala lakini kesho kikawa kidogo hivyo ikitokea mazungumzo muhimu je chama hicho kitabaguliwa ?
Mwenyewe ushajikatia tamaa kujiweka fungu la vyama vya mfukoni wacha tujadili tutakupa mrejesho
 
Kama kawaida JamiiForums tofauti na media zingine Tanzania, hutoa nafasi sawa kupitia unlimited airtime kwa vyama vyote vya siasa vilivyosajiliwa kutupia sera zao JF au kufungua verified account za wasemaji wa chama jukwaani. Kisha wasomaji JamiiForums kutoa mawazo huru au kuhoji kwa kifu yao bila uoga.

Vyama vingine visijitie unyonge wakati nafasi ya kuongea na umma mpana zaidi ya walio chumbani au baraza la vyama vya siasa upo hapa JamiiForums wamwage sera, mapendekezo na agenda zitakazogusa mustakabali wa nchi hii yetu sote upo.
 
17 February 2023

Mzee John Cheyo - Hili la vyama vinavyojiita Chama Tawala na Chama Kikubwa kuteka agenda za nchi halikubaliki



Mwenyekiti wa chama cha UDP Mh. John Cheyo alalamika siasa kuwekwa "gredi" vyama gani vinaweza kujadili katiba ya nchi, maana kwa sasa suala hili linajadiliwa na vyama viwili tu kimoja kinajiita ni tawala na kingine ni chama 'kikubwa' huku vyama vingine vinavyoitwa vya mfukoni vikiachwa nje ya mjadala huu mkubwa.

Mzee Cheyo anasema umri wake umamueleza kuwa leo chama kinaweza kuwa kikubwa na tawala lakini kesho kikawa kidogo hivyo ikitokea mazungumzo muhimu je chama hicho huko miaka ijayo kitabaguliwa ?

Anaongeza kuwa ustaarabu wa kisiasa uwe katika nyanja zote na siyo lugha tu. Hili la ukubwa na huyu mtawala haikubaliki hivyo baraza la vyama la siasa lipewe hatamu na jukumu la kuongoza mazungumzo yatayojumuisha vyama vyote badala ya vyama viwili kujifungia chumbani bila wananchi kushirikishwa na ushirikishwaji ndiyo people's power ya wale rafiki zetu.

Mkongwe huyo wa siasa anasema maisha ni magumu ni katika mifuko yao wananchi inayosababishwa na bei ya mafuta kupanda. Hivyo hii ya serikali kuamua kuagiza mchele kutoka nje haitasaidia kupunguza bei ya mchele dukani.

Jibu la kukabiliana na mfumuko wa bei ni kutumia neno moja tu ruksa la rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi na hivyo bulk procurement ya wachache kuagiza (kununua) mafuta ndiyo mzizi wa mfumuko wa bei /root cause ya mfumuko wa bei unaonufaisha wanunuzi wachache wa mafuta kupitia bulk procurement.

Ruksa ya Mzee rais Ali Hassan Mwinyi kuacha milango wazi kwa kila kitu ndiyo jibu endelevu / sustainable la kukabiliana na mfumuko wa bei hivyo EWURA na TBS wabaki kuwa wasimamizi wa ubora wa bidhaa na baada ya hapo bei ya mafuta itakuwa chini ya Tshs 2,000 kwa lita na hili litapelekea mfumuko wa bei wa kila kitu nchini kwenda chini na maisha kuwa nafuu.

Wafanyabiashara wa vitu na bidhaa zote hata mafuta lazima wawe wengi na ndiyo unafuu kwa maisha ya wananchi utapatikana, hii zimamoto ya kusimamia bei ya mafuta au kuagiza mchele toka nje kukabiliana na ughali wa maisha siyo suluhisho la kudumu.

John Cheyo mfanyabiashara wa siku nyingi anasema watanzania zaidi ya nusu hawaishi mashambani, bali wanaishi mijini na shamba lao ni mifukoni hivyo mchele toka Katavi, Shinyanga na Mbeya kuwa juu kwa walaji wa mijini unasababishwa na bei ya juu ya nishati ya mafuta ya dizeli na siyo vinginevyo pia wala ruzuku haitasaidia jibu ni neno ruksa kuruhusu biashara huria ya wafanyabiashara wengi wa biashara za ndani na nje.

Mzee John Cheyo anafurahishwa na waziri wa kilimo Hussein Bashe kutoyumbishwa na mbinyo wa kelele za kutoa bei elekezi kwa mazao ya wakulima au kufunga mipaka wakulima kuuza soko la nje. Mazao ni Mali ya wakulima anasisitiza Mzee John Cheyo na hiyo ndiyo sera ya UDP ya kuwajaza mapesa watanzania ikiwemo wakulima.

Mi nadhani mzee wetu atulie,mbona kwenye mikusanyiko mbali mbali inayosusiwa na wenziwe yeye mbona huwa anaenda?
Kwa hiyo yeye maridhiano hayamuhusu,kwani ana mgogoro na nani?
 
Chama ambacho Uchaguzi ukifika kinatangaza kuwaunga mkono Wagombea wa chama kingine kinawezaje kushiriki mjadala wa Mambo Makubwa ya Nchi. Kwa nini napo kisiache kiwakilishwe na Chama kikubwa kilichowawakilisha kwenye Uchaguzi?
 
Bila ya mantiki...
Kwenye maridhiano kuhusu Ukweli na Haki Yafanyike baada ya Rais SSh kuwa nje ya Nyadhifa yake. Iwe ni 2025 au 2030.... Ikiwa na maana waliohusika kwa namna moja au nyingine wawe nje ya mfumo unaoweza legeza Haki kutendeka. Wawepo nje ya mapazia.

Vilevile Kuhusu Katiba

Vyama vikubaliane kwa pamoja, watoe tamko la pamoja kulinusuru Taifa hili kutoka kwa mikono ya mabeberu na Vibaraka hai wa Ukoloni Mamboleo, ambao wansubiri kwa hamu kutumia mwanya unaojitokeza kupenyeza Ajenda zao.

Kwa sasa bunge linaweza kujikita kuboresha kanuni za Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi.

Naungana na Mzee Mapesa, Kwani
Sioni sababu ya kuharakisha mambo muhimu ya Taifa kwasababu ya Majabali wawili wa CHADEMA. Ikiwa ni pamoja na CCM? mapendekezo ya Mzee Mapesa yazingatiwe.

TL, Mbowe, Ndio tunawaonea huruma ya mateso mliyopata, lakini kwa sasa kuna mamluki na vibaraka wa mabeberu wanaotaka kutumia mwanya huu kuweza kuingiza ajenda zao, je mnataka kwenda na historia kama wawezeshaji? Sidhani.

Upo uwezekano wa vishinikizo.?..sawa, tunaheshimu Demokrasia? basi, tuanze kwenye vyama vya Siasa vyote nchini....kabla hatujaenda na hayo Kitaifa. Wakati huo tukiwa tunalinda a "Sovereign State"

Tutafika,
Kitaeleweka

.
 
17 February 2023

Mzee John Cheyo - Hili la vyama vinavyojiita Chama Tawala na Chama Kikubwa kuteka agenda za nchi halikubaliki



Mwenyekiti wa chama cha UDP Mh. John Cheyo alalamika siasa kuwekwa "gredi" vyama gani vinaweza kujadili katiba ya nchi, maana kwa sasa suala hili linajadiliwa na vyama viwili tu kimoja kinajiita ni tawala na kingine ni chama 'kikubwa' huku vyama vingine vinavyoitwa vya mfukoni vikiachwa nje ya mjadala huu mkubwa.

Mzee Cheyo anasema umri wake umamueleza kuwa leo chama kinaweza kuwa kikubwa na tawala lakini kesho kikawa kidogo hivyo ikitokea mazungumzo muhimu je chama hicho huko miaka ijayo kitabaguliwa ?

Anaongeza kuwa ustaarabu wa kisiasa uwe katika nyanja zote na siyo lugha tu. Hili la ukubwa na huyu mtawala haikubaliki hivyo baraza la vyama la siasa lipewe hatamu na jukumu la kuongoza mazungumzo yatayojumuisha vyama vyote badala ya vyama viwili kujifungia chumbani bila wananchi kushirikishwa na ushirikishwaji ndiyo people's power ya wale rafiki zetu.

Mkongwe huyo wa siasa anasema maisha ni magumu ni katika mifuko yao wananchi inayosababishwa na bei ya mafuta kupanda. Hivyo hii ya serikali kuamua kuagiza mchele kutoka nje haitasaidia kupunguza bei ya mchele dukani.

Jibu la kukabiliana na mfumuko wa bei ni kutumia neno moja tu ruksa la rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi na hivyo bulk procurement ya wachache kuagiza (kununua) mafuta ndiyo mzizi wa mfumuko wa bei /root cause ya mfumuko wa bei unaonufaisha wanunuzi wachache wa mafuta kupitia bulk procurement.

Ruksa ya Mzee rais Ali Hassan Mwinyi kuacha milango wazi kwa kila kitu ndiyo jibu endelevu / sustainable la kukabiliana na mfumuko wa bei hivyo EWURA na TBS wabaki kuwa wasimamizi wa ubora wa bidhaa na baada ya hapo bei ya mafuta itakuwa chini ya Tshs 2,000 kwa lita na hili litapelekea mfumuko wa bei wa kila kitu nchini kwenda chini na maisha kuwa nafuu.

Wafanyabiashara wa vitu na bidhaa zote hata mafuta lazima wawe wengi na ndiyo unafuu kwa maisha ya wananchi utapatikana, hii zimamoto ya kusimamia bei ya mafuta au kuagiza mchele toka nje kukabiliana na ughali wa maisha siyo suluhisho la kudumu.

John Cheyo mfanyabiashara wa siku nyingi anasema watanzania zaidi ya nusu hawaishi mashambani, bali wanaishi mijini na shamba lao ni mifukoni hivyo mchele toka Katavi, Shinyanga na Mbeya kuwa juu kwa walaji wa mijini unasababishwa na bei ya juu ya nishati ya mafuta ya dizeli na siyo vinginevyo pia wala ruzuku haitasaidia jibu ni neno ruksa kuruhusu biashara huria ya wafanyabiashara wengi wa biashara za ndani na nje.

Mzee John Cheyo anafurahishwa na waziri wa kilimo Hussein Bashe kutoyumbishwa na mbinyo wa kelele za kutoa bei elekezi kwa mazao ya wakulima au kufunga mipaka wakulima kuuza soko la nje. Mazao ni Mali ya wakulima anasisitiza Mzee John Cheyo na hiyo ndiyo sera ya UDP ya kuwajaza mapesa watanzania ikiwemo wakulima.

Tatizo lake ni kuwa kibaraka wa CCM kwa kutegemea kulipwa na msukuma mwenzake.
 
Kwa sisi tuliosoma CUBA tunajua miezi hii migumu, kwa hiyo Lissu, Lipumba, Cheyo na wengine ni kama wanasema "mama tuangalie, njaa inauma" ndio maana wanajisemesha semesha tu hapa jikoni.

Haya, ngoja tuwasiliane na Mnikulu, atawapigia
 
Tatizo lake ni kuwa kibaraka wa CCM kwa kutegemea kulipwa na msukuma mwenzake.
Kuna vyama vilianzishwa kama biashara ya kupata pesa za ruzuku n.k.
Hata kauli mbiu zao zinajifafanua mfano huyu MAPESA, kuna mwingine UBWABWA.
SASA lazima apige yowe akiona posho za vikao zinampita.
Wapi vyama vingine hajashirikishwa, alie juu ataonekana tu, au alitaka viwe vinatajwatajwa kama Chadema. Dawa ni kuwa na wanachama wengi, hao ndio watakaokisemea chama.
 
Kuna vyama vilianzishwa kama biashara ya kupata pesa za ruzuku n.k.
Hata kauli mbiu zao zinajifafanua mfano huyu MAPESA, kuna mwingine UBWABWA.
SASA lazima apige yowe akiona posho za vikao zinampita.
Wapi vyama vingine hajashirikishwa, alie juu ataonekana tu, au alitaka viwe vinatajwatajwa kama Chadema. Dawa ni kuwa na wanachama wengi, hao ndio watakaokisemea chama.
Mzee wa ubwabwa hajawahi kujikomba kwa yeyote yule, yeye anapesa zake na zilimuwezesha kulisha watu ubwabwa wa bure, hawa wanawaletea mchele mnunue mkaupike wenyewe.
 
Aitishe mikutano wa hadhara Ili songwe na wananchi juu ya Nini kifanyike.lakini mbona ni kama amewakilishwa?
 
Kama mwenyewe anajiita chama chake ni cha mfukoni.Nani atakutoa huko mfukoni uje uungane na hao unaowaita 2 Giant Parties.
Chama cha mfukoni maanake ni kuwa akipewa chochote akaingiza mfukoni anaunga mkono hoja, iwe nzuri au mbovu yeye ni sawa tu.
 
Back
Top Bottom