The Future.
Member
- Jan 7, 2011
- 71
- 0
tunahitaji umoja na ushirikiano ktk harakati za ukombozi wa tanganyika yetu,sio vizuri kuwasema vibaya wafu ambao ni watanzania wenzetu. Tuwe wazalendo tuipende nchi yetu kwanza then mambo mengine yafuate nyuma.
Wewe unajua? Au unaongea tuuu....
Nikupe mfano.
1. William Ruto
2. Uhuru Kenyatta
3. Henry Kosgey.. niendelee!!!
Wote hawa wakati wanachochea mauaji ya wananchi unadhani walijua kuwa watapelekwa huko!!
U don't know what you are talking about!