Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Baada ya kutupiana vijembe mwaka juzi, hatimaye Mgaya na JK sasa wamekuwa maswahiba kama picha hii inavyothibitisha. nani mshindi? Wafanyakazi (Mgaya) ama serikali (JK)???
View attachment 53062
Baada ya kutupiana vijembe mwaka juzi, hatimaye Mgaya na JK sasa wamekuwa maswahiba kama picha hii inavyothibitisha. nani mshindi? Wafanyakazi (Mgaya) ama serikali (JK)???
View attachment 53062
Ngoja niitafute ile ya Mbowe na JK halafu tudiskasi
viongozi wa Tucta waache unafiki kila siku mishahara midogo,kodi ipunguzwe hakuna linalofanyika wakati ripoti ya cag ikionyesha jinsi mafao ya wafanyakazi yanavyoliwa hatujasikia kauli yoyote wajifunze kwa wenzao wa africa kusini namna gani wanavyowakilisha wafanyakazi