JK kuvunja baraza la mawaziri baada ya sherehe za Muungano

Akivunja atapata hasara, kwani hatapata wengine watakaomtii yeye, bali watatii katiba.
 
Leo itakuwa siku nzuri sana kwa JK kuutangazia umma kuwa anaachia madaraka maana uozo haupo mkwenye baraza la mawaziri tu ila hata rasi kama taasisi

hiyo habari inaweza kuwa kweli coz jambo leo linamilikiwa na na ritz kwahiyo atakuwa ameongea na mzazi wake au wasaidizi wa karibu
 
Ndg wa JF leo katika Gazeti la Jambo leo habari kubwa iliyotawala ni juu ya Rais Kikwete, kuwa kesho atavunja Baraza la Maziri lakini kila nikisoma habari yenyewe inakosa mashiko kutokana na huyun jamaa JK kutoeleweka na hata nikujiuliza je ni Kweli naweza kuvunja Baraza lake la Mawaziri Kesho?:behindsofa::behindsofa:

Waziri mkuu lazima aidhinishwe na Bunge; kwa kuwa hakuna kikao kinachoendelea hawezi kuvunja baraza la mawaziri kwa sasa labda afanye tuu mabadiliko
 
Huyu mkuu wa kaya inwezekana yuko chama cha upinzani na kwamba anataka kabla hajaondoka marakani anahakikisha chama chake kinakufa, ndo maana unaona hana mkakati wowote wa kuimarisha chama ila wa kubomoa.

Wait you will see!
 
Source: Jamba Leo,hakuna ki2,hawa wanaganga njaa 2.ila likivunjwa lisivunjwe CHADEMA TUMESHAPATA SINGO MPYA SOKONI.
 
hivi kwenye huu muungano atazungumzia nini? isije ikawa kama hotuba ya pinda ya kuahirisha bunge, hivi kuna watu bado wanapoteza muda kumsikiliza jk?
 
Ndugu zangu hiyo nighiriba Kikwete hana ubavu labda kama Waziri Mkuu angekuwa amejiuzulu vinginevyo anaogopa kukosa mgawo wake wa madini na IPTL.



Kipugala
 
My take: hapa naona LOWASA, CHENGE, MAKAMBA etc etc etc ndani ya nyumba.

Akifanya hivyo atakuwa amekihujumu chama chake kuliko hata 'Mh'. Lusinde alivyokihujumu , maana atakuwa ameongeza kasi ya wana ccm kuamia CDM.
 
Nina mashaka na uwezo wa maamuzi wa Jk. Najua hawezi kuvunja baraza, na ikitokea akafanya hivyo. Basi Lusinde atakuwa waziri mkuu.
 
Source Jambo Leo aka magamba

Linadai kuwa alikuwa anangojea sherehe za muungano na wapo watakao ondoka na wapo watakao baki.

Mie nadhani kaona sio upepo tena ni dhoruba inakuja ni mara ngapi anatakiwa kufanya ivyo anaghairii?

Inasemekana JK anafahamu kila kinachoendelea na mengine yanatokana na maelekezo yake au maelekezo ya maswahiba wake, kwahiyo anaogopa kuachwa mwenyewe.
 
Kutegemea neema baada ya mabadiliko kwenye Baraza la Mawaziri chini ya uongozi wa huyu ndugu ni kula upepo. Kimsingi jamaa uwezo wake wa kuchagua ni mdogo, kuthibitisha hili angalia mabadiliko aliyofanya yakaleta tija kwa taifa ni yapi katika utawala wake. Anachofanya siku zote ni kubadilisha magarasha i.e Ukishindwa ubunge anakupa Ukuu wa Mkoa/Wilaya, ukiiba au kushindwa wizara fulani unapelekwa wizara nyingine. Wazo la yeye kuondoka lina mantiki kwa kuwa ndo kiini cha tatizo.
 
Tunahitaji serikali nzima ing'oke, uitishwe uchaguzi (for gross incompetence ) na sio vimawazili viwili vitatu tu.
 
Back
Top Bottom