Source Jambo Leo aka magamba
Linadai kuwa alikuwa anangojea sherehe za muungano na wapo watakao ondoka na wapo watakao baki.
Mie nadhani kaona sio upepo tena ni dhoruba inakuja ni mara ngapi anatakiwa kufanya ivyo anaghairii?
haaaah haaah! mzee hii ni interesting story to hear BUT is it true? can you confirm the truth of the story!