lidoda
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 641
- 574
Mkuu, kwani kuna mtu anayemzidi Lowassa kwa utendaji kazi magambani?
Mbona hakutia sahii ya kutokuwa na imani na utendaji wa Punda? obvious inaonyesha kwake(Lowasa) kuwa ni bora kuliko yeye Lowasa
Mkuu, kwani kuna mtu anayemzidi Lowassa kwa utendaji kazi magambani?
Kwa mjibu wa jambo leo ambapo mwandishi anadai source yake ni ya kuaminika (nadhani itakuwa ikulu) linasema kesho tr 27 au kesho kutwa tr 28, raisi atatangaza baraza jipya la mawaziri. Lets wait and see.
My take: hapa naona LOWASA, CHENGE, MAKAMBA etc etc etc ndani ya nyumba.
Kwa mjibu wa jambo leo ambapo mwandishi anadai source yake ni ya kuaminika (nadhani itakuwa ikulu) linasema kesho tr 27 au kesho kutwa tr 28, raisi atatangaza baraza jipya la mawaziri. Lets wait and see.
My take: hapa naona LOWASA, CHENGE, MAKAMBA etc etc etc ndani ya nyumba.
Kweli kabisa.Akilivunja tu na yeye ajiondoe kwani amekuwa janga kuu nchini.
Akilivunja tu na yeye ajiondoe kwani amekuwa janga kuu nchini.
Unajua mara nyingi hua haueleweki misimamo yako kabisa,hivi hadi leo hii bado una amini EL ni muadilifu na ataendelea kua muadilifu? hebu thibitisha kauli yako hapa tuone kipi ambacho una hisi huyu bwana Manywele anacho until unaleta hizi PredictionsNapendekeza Mh. Lowassa arudishwe kuwa waziri mkuu kwani hakunaga kama yeye magambani.
Ndio ni gazeti la Riz one
Napendekeza Mh. Lowassa arudishwe kuwa waziri mkuu kwani hakunaga kama yeye magambani.
Napendekeza Mh. Lowassa arudishwe kuwa waziri mkuu kwani hakunaga kama yeye magambani.