Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Ukichaa mwingine..
Huu uhuru wa kila mtu kusema mawazo yake unasababisha wengine wafikirie kwa mfumo wa anticlockwise wakati wengine wanakwenda kwa mfumo wa clockwise!
Bila shaka haya ni matokeo ya pilau la krismasi. Kheri ya krismas godwin!
rais anayo mamlaka ya kumwondoa mtu ndani ya nchi kwasababu za usalama wa nchi. kama ikionekana mtu huyo anahatarisha usalama wa taifa
Awapeleke wapi?
rais anayo mamlaka ya kumwondoa mtu ndani ya nchi kwasababu za usalama wa nchi. kama ikionekana mtu huyo anahatarisha usalama wa taifa
kaka ukiona watu tunakula pilau ujue ndio maisha bora aliyosema jk.
lakini kwanini wakuu wa chama chako wanasababisha serikali kushindwa kupanga mambo ya maendeleo?
Kutokana na rais kuwa katika mashinikizo makubwa toka kwa watu na taasisi zinazoongozwa na watu ao ni vema ukafuta uraia wa waliotaja hapo juu ili nchi itulie na shughuli za maendeleo ya taifa zifanyike la sivyo mh rais utawala wako utadondoka kabla ya muda wake.
Wafalme wa ugiriki waliwai kuwaua wanafalsafa waliokuwa wanayumbisha tawala zao lakini mimi sikushauri uwaue bali wafukuze nchini kama nyerere alivyomfukuza kambona au karume alivyomfukuza ibrahimu babu.
baada ya kufanya hivyo nchi itakuwa imetulia na hutakuwa na magonjwa ya moyo
kaka ukiona watu tunakula pilau ujue ndio maisha bora aliyosema jk. lakini kwanini wakuu wa chama chako wanasababisha serikali kushindwa kupanga mambo ya maendeleo? hiyo sio siasa japo wangengoja 2014 lakini wao peoples power kama tuna kampeni sasa , pinda kashawaambia waache maandamano na mashinikizo kwani wanayumbisha nchi wao wanazidisha.Ndio maana njia pekee kwa JK ni kufuta uraia wa watu ao
Hoja si kwamba JK amfukuze nani na nani ili inchi itawalike. Hoja ni kwamba JK aondoke madarakani apishe uchaguzi huru ufanyike. JK hakuwa chaguo la Watz wengi bali alikuwa chaguo la Tume ya uchaguzi aliyoiunda yeye mwenyewe pamoja CCM yake. Kama ni kuondoka madarakani aondoke tu haidhuru!
kikwete anahatarisha vipi usalama wa Taifa wakati yeye ndiyo namba moja katika kulinda usalama wa nchi?
Mkuu jina lako ni God Wine au sijaelewa ?