Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
tunafahamu fika kwamba jk hakushinda kihalali na ndio maana watu hao aliowataja wanampa ugonjwa wa moyo kwa misimamo yao,ila kumbuka kwamba kuwafukuza hao sio ndio utakuwa umemaliza tatizo bali utaliongeza mara mia mbili kwani wapo wanaowaunga mkono kwa asilimia miamoja bwana godwine
Kwa jinsi sasa hivi dunia ilivyo kama Kijiji ni vigumu sana akatawala kwa kuwepeleka Slaa, Mbowe na Shivji uhamishoni! Mfano mzuri ni yeye mwenyewe akiwa safarini Ugaibuni huwa anaongoza Nchi kwa kutumia simu!
Kutokana na rais kuwa katika mashinikizo makubwa toka kwa watu na taasisi zinazoongozwa na watu ao ni vema ukafuta uraia wa waliotaja hapo juu ili nchi itulie na shughuli za maendeleo ya taifa zifanyike la sivyo mh rais utawala wako utadondoka kabla ya muda wake.
Wafalme wa ugiriki waliwai kuwaua wanafalsafa waliokuwa wanayumbisha tawala zao lakini mimi sikushauri uwaue bali wafukuze nchini kama nyerere alivyomfukuza kambona au karume alivyomfukuza ibrahimu babu.
baada ya kufanya hivyo nchi itakuwa imetulia na hutakuwa na magonjwa ya moyo
ajaribu aone kama hajaingizwa vijiti matakoni kama Ghadafi
akifanya ivyo ndo atajua i have power to constructs nuclear bombs!
Kutokana na rais kuwa katika mashinikizo makubwa toka kwa watu na taasisi zinazoongozwa na watu ao ni vema ukafuta uraia wa waliotaja hapo juu ili nchi itulie na shughuli za maendeleo ya taifa zifanyike la sivyo mh rais utawala wako utadondoka kabla ya muda wake.
Wafalme wa ugiriki waliwai kuwaua wanafalsafa waliokuwa wanayumbisha tawala zao lakini mimi sikushauri uwaue bali wafukuze nchini kama nyerere alivyomfukuza kambona au karume alivyomfukuza ibrahimu babu.
baada ya kufanya hivyo nchi itakuwa imetulia na hutakuwa na magonjwa ya moyo
​jamaa amekuja na hoja yake na nadhani anamisingi yake hivyo ni vema ukaonyesha mapambano ya hoja na si matusiAkili yako ndo imefika kikomo!? ww uko perfect kiasi gani mpka usikosolewe? nadhani nawe uko kwenye kundi la vijisenti ivyo una mashaka bomu litalipuka anytym!
Na alipopigigiwa simu avunje mkataba wa Richmond akakataa na kumsikiliza Luhanjo na Jairo. Source: Lowassa
kutokana na rais kuwa katika mashinikizo makubwa toka kwa watu na taasisi zinazoongozwa na watu ao ni vema ukafuta uraia wa waliotaja hapo juu ili nchi itulie na shughuli za maendeleo ya taifa zifanyike la sivyo mh rais utawala wako utadondoka kabla ya muda wake.
Wafalme wa ugiriki waliwai kuwaua wanafalsafa waliokuwa wanayumbisha tawala zao lakini mimi sikushauri uwaue bali wafukuze nchini kama nyerere alivyomfukuza kambona au karume alivyomfukuza ibrahimu babu.
Baada ya kufanya hivyo nchi itakuwa imetulia na hutakuwa na magonjwa ya moyo
ili muibe vizuri? Pumbavu, hujui democrasia