Hawakukutana barabarani hao
Mwenzio anafanya dayati tayari kwa kuapishwa wewe unaona kachoka?.....:attention:
Kuapishwa kwenye nini ?
Wote hawajafunga kifungo cha chini.
Kuwa Rais wa 5 wa Tanzania (kama itaendelea kuwepo)
tusameheane mkuu,unajua tena kawaida yetu ya kutosoma between the lines!nimeweka maelezo tayari. Ya tarehe 12 julai 2012
Rais Kikwete akimsindikiza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge wa Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mh. Edward Lowassa muda mfupi baada ya kukutana nao jijini London, Uingereza Julai 12, 2012.
Mwenzio anafanya dayati tayari kwa kuapishwa wewe unaona kachoka?.....:attention:
Cheki body language ya Kikwete!
Mshikaji unavyoniminyia sio poa lakini basi tena!
Na anaetia mikono mfukoni jee huwa nani?Kawaida mkitembea bosi hukaa kulia