lazima EL kalazimisha hiyo picha isambazwe mitandaoni
lazima EL kalazimisha hiyo picha isambazwe mitandaoni
Now its more clear! Wamependeza, ingawa wote usoni mwao wanaonekana kuchoka (sipendi kusema "dhaifu")...sijui ni stress,uzee au ni unafiki tu!Nimeweka maelezo tayari. Ya Tarehe 12 Julai 2012
Now its more clear! Wamependeza, ingawa wote usoni mwao wanaonekana kuchoka (sipendi kusema "dhaifu")...sijui ni stress,uzee au ni unafiki tu!
Rais Kikwete akimsindikiza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge wa Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mh. Edward Lowassa muda mfupi baada ya kukutana nao jijini London, Uingereza Julai 12, 2012.
Mh Lowassa anaonekana kuchoka kweli, sijui ni uzee ? anahitaji kupumzika na kukaa mbali na siasa.
mbona lowassa kama anabembeleza kitu