MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Safi sana JK umethubutu,ni bora uondoe zana ya ufalme katika chama. Haiwezekana kiongozi kuwa na kapu la vyeo vyama na kuvitumia kama silaha kwa maadui zake.
Hapo kwenye red, are you serious? JK = mfalme, Mama Salma = Malkia, Ridhiwani = Mwanamfalme.