huu ni utumwa wa kiafrica SIONI sababu yoyoteya mwanamke WA KIAFRICA kumpigia mtu yoyote magoti. NASEMA HUU NI UTUMWA NA IBABIDI UKEMEWE
:frusty::frusty::smash::smash:Unacceptable, shame, kneeling is not sign of displine or obedience, this is slavery with the world we have now.:A S 114::A S 114::ranger::ranger: let me drive away:car:
hahahahahuu ni utumwa wa kiafrica SIONI sababu yoyoteya mwanamke WA KIAFRICA kumpigia mtu yoyote magoti. NASEMA HUU NI UTUMWA NA IBABIDI UKEMEWE
Tuko pamoja mkuu, watu wanapenda sana kujifanya miungu ati kwa kisingizio cha tamaduni zetu.huo ndio utumwa wenyewe ninaoupinga .....kuna haja gani ya mwanamke kupigia mwanaume magoti? si kama ukeketaji tu huu?
Kwa mnaotoka Kilimanjaro lazima muone ajabu maana huko mwanamke hata anapomsalimia mkwe anasisimama kama mlingoti!, lakini lazima mjue kuheshimu uafrica wenu sio kuiga vya wazungu tu. Kuna mwanasayansi mmoja wa kizungu alishasema waafrica kazi yao ni kuiga iga tu, ona sasa jinsi wazungu wanavyotutukana. Kutokuwa na utamaduni wa kukutambulisha napo ni mapungufu. Kwa kabila langu hata mwanaume, kwa mfano, anapomsalimia mkwe lazima ainame kidogo.
ni kweli nimekupa thanx.
Halafu jamaa anafurahia kuabudiwa nini?
mmmmmhhhhhhhh.........assume ni mkeo huyo..
Nidhamu ya uoga na kujipendekeza.