Huku malawi hiyo kawaida tu watu wa huku wananidhamu ya owoga kwale huku hata mfanyakazi hawezi kuongea na boss wake akiwa amesimama hata boss wake awe mdogo ndo walivyo watu wa huku!
Kupiga magoti ni kuabudiwa au ni ishara ya heshima?huu ni utumwa wa kiafrica SIONI sababu yoyoteya mwanamke WA KIAFRICA kumpigia mtu yoyote magoti. NASEMA HUU NI UTUMWA NA IBABIDI UKEMEWE
huu ni utumwa wa kiafrica SIONI sababu yoyoteya mwanamke WA KIAFRICA kumpigia mtu yoyote magoti. NASEMA HUU NI UTUMWA NA IBABIDI UKEMEWE
:whoo:now! thats what i call an excellent african woman
Afu linacheka huwa linanikera likianza kuchekacheka wakati na lenyewe likifika huko kwa kina 0bama ndo linalala hadi chini.
huu ni utumwa wa kiafrica SIONI sababu yoyoteya mwanamke WA KIAFRICA kumpigia mtu yoyote magoti. NASEMA HUU NI UTUMWA NA IBABIDI UKEMEWE
hadi wanaume? au ni wanwake tu?
heee weee,,,, shauri yako we uachie tuu mudomo wako,,,bado sie twkutaka jf....hebu jizuie kidogo my boy heee...