Pamoja na hayo, january anataka uwaziri wa ngeleja, ndio maana amekuwa akimsakama sana na hadi kapeleka uthibitisho wa rushwa za ngeleja. Nadhani jk alimwambia akomae nae hadi ajiuzulu halafu ateuliwe yeye ili kukidhi kiu ya mafisadi.January ni msaliti mkubwa na anatumwa na rachel kuvuruga nchi , msimwamini kabisa hata unapomuangalia anaonyesha hivyo. Kwa vile anatumwa na mafisadi naye ni fisadi, siri zake tunazo. Atuachie nchi yetu tulio wazalendo. Jm ulichofanya kule bumbuli si unafahamu mwenyewe. Mungu atakuhukumu usifikiri watz hawajui. Endelea lakini umma unakujua
Pamoja na hayo, january anataka uwaziri wa ngeleja, ndio maana amekuwa akimsakama sana na hadi kapeleka uthibitisho wa rushwa za ngeleja. Nadhani jk alimwambia akomae nae hadi ajiuzulu halafu ateuliwe yeye ili kukidhi kiu ya mafisadi.January ni msaliti mkubwa na anatumwa na rachel kuvuruga nchi , msimwamini kabisa hata unapomuangalia anaonyesha hivyo. Kwa vile anatumwa na mafisadi naye ni fisadi, siri zake tunazo. Atuachie nchi yetu tulio wazalendo. Jm ulichofanya kule bumbuli si unafahamu mwenyewe. Mungu atakuhukumu usifikiri watz hawajui. Endelea lakini umma unakujua
Pamoja na hayo, january anataka uwaziri wa ngeleja, ndio maana amekuwa akimsakama sana na hadi kapeleka uthibitisho wa rushwa za ngeleja. Nadhani jk alimwambia akomae nae hadi ajiuzulu halafu ateuliwe yeye ili kukidhi kiu ya mafisadi.
wakuu
Hivi vita ni kati ya Jairo na ngeleja
1.Jairo,seasonal secuity officer na mtu ambaye anataka awe on top kwenye issue zote za wizara kwa sasa..
2.Ngeleja ni mtu mjanja mjanja ambaye ametokea kupata madaraka na kupendwa na rais..na ana influence wizarani
Toka Jairo ahamie pale Nishati yeye na Ngeleja wamekuwa wakifitiniana sana ..inasemekana wao kwa wao hawaaminiani..
between the dot,JM na Jairo wamefanya kazi wote pale magogoni na waliondoka pamoja pale...hivyo wanajuana vyema
All in all hii ni battle ambayo sisi haituhusu kabisa,tunachotaka ni umeme wa uhakika..JM na Ngeleja wanatakiwa kutuambia mipango ya kujenga vyanzo vya umeme itakamilika lini na pesa watazitoa wapi...kama ni PPP tujue..siyo blah blah..umeme kwanza
again,JF has been credible since then..hivyo tuache kujadili watu na tukate issue..
I am down
Gembe!
Kwa wale wanaofuatilia sakata la Umeme, majina mawili mtakuwa mnayafahamu vizuri sana. January Makamba na William Ngeleja. William Ngeleja ni Waziri aliyeteuliwa na Rais JK, na January Makamba ni kijana ambaye amewahi kumfanyia JK kazi, kama mwandishi wa hotuba. Baada ya JM kukosa uwaziri, aliahidi kuwafanyia wana bumbuli kazi waliyomtumia bungeni. Wengine wamemuita JM mnafiki na msaliti wengine wanamuona kama kijana mwenye ndoto kubwa
Kumekuwepo mvutano, wa vuta nikivute kati ya ngeleja na makamba Jr. Mara Barua, mara kukingiana kifua, mara rushwa. Haya yote kwa mtizamo wangu yanafanywa ili kuonyesha uwezo mdogo wa Bwana ngeleja katika wizara ya nishati na madini, na uwezo wa JK katika uteuzi wake wa mawaziri. Wachambuzi wengi wa kisiasa wamekuwa wakitoa lawama nyingi dhidi ya JM kwamba ni kibaraka wa mafisadi na mtu mwenye ubinafsi mkubwa. Lakini mwisho wa siku yote ni maneno, ila ujumbe mzito ni kwamba
1. Amedhiirisha wazi, na anaendelea kuudhiirishia umma kwamba JK hana uwezo wa kuiongoza nchi
2. Ameamua kumtumia taarifa JK kwamba nafasi yoyote anaweza kuipata bila usaidizi wake JK
Kwa wale wanaofuatilia sakata la Umeme, majina mawili mtakuwa mnayafahamu vizuri sana. January Makamba na William Ngeleja. William Ngeleja ni Waziri aliyeteuliwa na Rais JK, na January Makamba ni kijana ambaye amewahi kumfanyia JK kazi, kama mwandishi wa hotuba. Baada ya JM kukosa uwaziri, aliahidi kuwafanyia wana bumbuli kazi waliyomtumia bungeni. Wengine wamemuita JM mnafiki na msaliti wengine wanamuona kama kijana mwenye ndoto kubwa
Kumekuwepo mvutano, wa vuta nikivute kati ya ngeleja na makamba Jr. Mara Barua, mara kukingiana kifua, mara rushwa. Haya yote kwa mtizamo wangu yanafanywa ili kuonyesha uwezo mdogo wa Bwana ngeleja katika wizara ya nishati na madini, na uwezo wa JK katika uteuzi wake wa mawaziri. Wachambuzi wengi wa kisiasa wamekuwa wakitoa lawama nyingi dhidi ya JM kwamba ni kibaraka wa mafisadi na mtu mwenye ubinafsi mkubwa. Lakini mwisho wa siku yote ni maneno, ila ujumbe mzito ni kwamba
1. Amedhiirisha wazi, na anaendelea kuudhiirishia umma kwamba JK hana uwezo wa kuiongoza nchi
2. Ameamua kumtumia taarifa JK kwamba nafasi yoyote anaweza kuipata bila usaidizi wake JK