Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 420
mi nakaa mpaka saa nane nijiridhishe hajaongea,
sasa tukisema ni DHAIFU kuna wa kukanusha?
hata baba akiwa harudi nyumban siku hiyo huwa anatoa taarifa ili asiwekewe chakula na kusiwepo na mtu wa kumfungulia mlango.
mi nitadai fidia ya usingiz wangu.
Dahaifu, liwalo na liwe!!!!!!!
sasa tukisema ni DHAIFU kuna wa kukanusha?
hata baba akiwa harudi nyumban siku hiyo huwa anatoa taarifa ili asiwekewe chakula na kusiwepo na mtu wa kumfungulia mlango.
mi nitadai fidia ya usingiz wangu.
Dahaifu, liwalo na liwe!!!!!!!