Ni vigumu kwa Lipumba kuingia, kwa sababu si mbunge. Na hata akiteuliwa kuwa mbunge it means Bunge la dharura liitishwe ili aapishwe (ubadhirifu wa pesa posho kwa wabunge wote). Ni vigumu,, ongeleeni watu wengine
Imekuwa mchana sasa.
yaani kuna Thread zimetoka katika Vijiwe vya Kahawa Mitaani.
Ukitaka kuamini hapa Ulizia Source kwa mtoa Thread kama utaipata!!!!!!!
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
Gavana wa benki kuuDu sijui prof lipumba atakua waziri wa nini?